Tafsiri ya namba kujirudia kwenye ulimwengu wa roho

Huyo hana shida ingekuwa mweusi kuna mawili hapo
Kakukinga na kitu kibaya
Kakukinga kuna kitu kizuri usikipate

Sent using Jamii Forums mobile app

Vipi kuhusu hawa paka weusi wanao patikana maeneo ya shule au vyuoni nao wanaashiria kitu gani mkuu?,,, maan mara nyingi nikiwa naamka usiku kwenda darasani au toilet nakutana nao sana na kuna wengine wanakukazia macho na mmi nikikaza sana wanatimua mbio
 
Mkuu upo upande ule kwa hiyari au???
 
Umeshafika mwisho wa mzingo/ duara ..unahitaji kuanza upya..hivyo jifanyie tathmini wewe mwenyewe kabla ya kuanza tena..ulifanikiwa wapi..ulikosea wapi na nini ufanye ili usirudie pale ulipokosea au uendelee na yale mazuri kwa pale ulipofanikiwa.......
 
Daaah mara nyingi sana inakuwa inanitokea hasa hasa mchana kila nikiangalia saa nakutana na 14:14 yaa saa nane na dakika 14 mchana
Unahimizwa kuendelea kusonga mbele kulingana na moyo wako au nafsi yako inavyojisikia kufanya ili kutimiza malengo yako katika maisha....amini kile unachokiamini na kuona kwako ni sahihi....
 
11:11 (nimeibatiza kama 11th hour)

Nimekuwa nikiona hivi hadi nimekuwa nikihisi huu ndio utakuwa muda wa kujiliwa/kutwaliwa kwangu...

Wengi niliowauliza maana yake, hakuna aliyekuwa na jibu la moja kwa moja zaidi ya kuambulia kuambiwa tafakari wakumbushwa nini muda huo...
 
Mimi pia huwa naziona kila siku namba zinazo jirudia hata hapa kwenye uzi wako nimeona 16/16
Tegemea mabadiliko makubwa na kufunguka kwa fursa mbele yako..ni mwanzo mpya katika mambo yako..ongezeko la kipato..watoto..mapenzi na mafanikio kwenye utaalamu wako......mf. Kupanda cheo.....
 
Ni namba za bahati..ukiona hizi omba chochote utakacho.. unakumbushwa kwamba kila kitu kwenye maisha yako kiko kwenye njia sahihi hata kama unapitia kwenye magumu..huhitaji kuwa na stress bali utulivu wa akili...hata kama unapitia wakati mgumu..ishi vile wewe unaamini na usiishi kwa kuangalia maisha ya jirani yako/mtu mwingine......
 
[emoji419][emoji375][emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: BRN
Daddy…
Usije ukatwaliwa kabla sijakuona. Hebu njoo inbox kwanza
 
Wewe ni mimi kabisa mpaka nikawa na mawazo kama yako au ndio naambiwa maut yapo karibu yangu nishabasirisha mpaka majira ya asubuhi na jioni lakini wapi
 
Nakutana sana na 1234
 
Nakutana sana na 1234
Una karama ya uongozi;
Unapitia au unaanza jambo jipya/mwanzo mpya au kuna mabadiliko unaanza kuyapitia kwenye maisha yako.
Kimsingi unakumbushwa kwamba uko kwenye njia sahihi kwa kile unachofanya au unachotarajia kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…