Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Ifafanue kidogo mkuu hii, japo naona John ngahyoma na Nyaisanga wako upande mmoja (RIP)
Na wote ni marehemu! Je walilifahamu hili wakati wanapiga hii picha?
 
Hee kumbe tayari umeshafanya mambo
Aisee unajua we jamaa natamani sana siku moja tuonane, kuna mada nyingi unaletaga huku sometimes kuna watu wanaweza wasikuelewe lakini mambo mengi sana yapo na huwa yanaanzia katika ulimwengu wa roho kabla yakuja kiuhalisia.
 
Aisee unajua we jamaa natamani sana siku moja tuonane, kuna mada nyingi unaletaga huku sometimes kuna watu wanaweza wasikuelewe lakini mambo mengi sana yapo na huwa yanaanzia katika ulimwengu wa roho kabla yakuja kiuhalisia.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji144]karibu Msata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…