Mwendazake ndio nani.. Tena.Hahahaa unamaanisha M7 au mwendazakwe?
Ooh ok ok sawa.. Hayati ndio mwanakwenda au mwendazakeMwendazake ndio nani.. Tena.
Nazungumzia Huyo mzee mweusi, alieshikana mikono na hayati.
Umeichambua vema kabisa[emoji1545][emoji1545][emoji736][emoji817]Hii picha hapa kila mmoja aliondoka na msimamo wake.
1.Mahera anataka kuprove kitu kwenye public
2 Balile anamnyenyekea Mahera.
3.Mbowe on his own world.
No wonder kikao hiki hakikuwa na matokeo chanya.View attachment 1843808
jamaa ni mkuu wa mioto?Hii ni tofauti kidogo na muktadha wa mada lakini bado tafsiri yake kiroho inasadifuView attachment 1849731
Nakubaliana na wewe Mshana Jr.100%,whatever happens in the material World,has a spiritual beginning or dimension.Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike
Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu
- angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
- angalia mpangilio wa rangi au mavazi
- angalia body language
Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk
- wote wamekufa
- wote ni matajiri
- wote wameoa/wameolewa nyumba moja
- wote tabia zao zinafanya nk
Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao
- walikuja kuoana
- walikuja kuwa maadui wakubwa
- walikuja kuwa marafiki wa damu nk
Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi
Ni nguvu hiyo inayoamua:
Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini
Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu
Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii
- angalia mfanano wa rangi za mavazi
- body language
- nafasi kwenye kusimama
- umbali na ukaribu
Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?
Duh...!hiyo imekaje mkuu?View attachment 1853532
Huo upungaji wa mkono wa mwendazake inaashiria "kwaherini"Akifariki akiwa madarakani tena kabla ya Rais mwingine wa Afrika italeta maana zaidi.
Save this...Iwe ni kwa kheri au shari lakini picha inaongea... View attachment 1861390
Ndo vikoje hivyo?Ana vinasaba na mioto[emoji3]
naaam yametia[emoji848]Asante mkuu naamin sasa View attachment 1863493
Inafikirisha sana, na aliyesimama kule mlangoni amefichwa sura, it means hayupo kwenye tafsiri ya hii picha, pengine wala mpiga picha hakuwaza kumficha asionekane, walioonekana kwenye picha wameonekana kwenye uso wa mungu.Asante mkuu naamin sasa View attachment 1863493
List imetimiaAsante mkuu naamin sasa View attachment 1863493