wirewizard1
Senior Member
- Jun 28, 2015
- 160
- 26
Sizonje hii ndiyo Tanzania yetu,Mipaka ipo ila wanapita kinyemela.........niendleeee???Jamani Mrisho Mpoto amenishinda...
Huu wimbo wake mpya wa Sizonje naupenda japo nimejitahidi kuuelewa ila hadi sasa sijafanikiwa kuelewa hata mstari mmoja wa shairi lake.
Naomba tusaidiane hapa.
Hiki ndo kiitikio
.....,............................
Sizonje hii ndio nyumba yetu,
milango ipo wanapita madirishani,
ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu.
endelea ndugu...Sizonje hii ndiyo Tanzania yetu,Mipaka ipo ila wanapita kinyemela.........niendleeee???
sizonje wageni wanalala chumbani wenyji sebulen means that Wageni ndio wanaoshika nyafifa nzuri serikalini au katka makampuni ila wazawa lol.......niendleeeeendelea ndugu...
anasema...
Hii ndio nyumba yetu tuliyofichia mundu za kupondea wezi.
Kwani makaburi yaliyofukuliwa ni lazima yazikwe upya?
Nyumba hii Sizonje inavyumba vinne, vitatu havifunguki na kimoja hakina mlango japokuwa kunawatu ndani na hawaongei kiswahili.
Wenyeji wanalala sebuleni na walishazoea.
Twende kazi...
Hata wewe mwenzangu na mie...unajaribu kuchambua lamstari unakohisi umekaelewasizonje wageni wanalala chumbani wenyji sebulen means that Wageni ndio wanaoshika nyafifa nzuri serikalini au katka makampuni ila wazawa lol.......niendleeee
how come? utunge kitu usikielewe? aache usaniiMpoto mwenyewe kahojiwa kasema ye mwenyewe haelewi..Anaendelea kuusikiliza zaidi ili apate maana..
hahahaaaAAAA bahasha ya kaki!!!Hapo ni mstari gani mkuu au yote maana naona humu kaongelea mambo mengi hadi ukosefu wa ajira kama sijakosea kwenye ule mstari wa bahasha ya kaki
Msanii aache usanii??? Atakua nani.how come? utunge kitu usikielewe? aache usanii
mwanamuzikiMsanii aache usanii??? Atakua nani.
hahahahahaaaaa shidAaaaHata wewe mwenzangu na mie...unajaribu kuchambua lamstari unakohisi umekaelewa
Una ujumbe mzuri na muhimu sana kwa mlegwa nadhan ungepata muda ukausikiliza,Mbpna huu wimbo umejadiliwa sana kama mwezi umepita??