Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Itupe tu mkuu au gawa☺Hapana alinipatia zawadi na kuniuliza endapo naweza kukuna. Kiukweli ninaye hadi mbuzi anayetumika na nimeweza kuikuna leo.
Sema roho na nafsi zinasisitiza kufahamu maana ya zawadi hii.
Nitaanzisha vipi ugomvi na kupigana na mtu ambaye hajanikosea wala kunivuruga?Maana yake anataka umpasue.
Nimekwisha kula sasa nimeitia kunako wali na kiasi nimeweka katika mboga mbalimbali.Itupe tu mkuu au gawa☺
Hakika mkuu hata siku moja sitoweza mtenga Mungu.Achana na habari za kishetani usijitenge na Imani ya mwenyeziMungu kwa sababu unaijua iliyo kweli..dumu katika mafundisho mazuri Tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika, amenipatia nitumie katika mapishi.Si amekupa uungie mboga
Ile chopping board yenye fangasi ndio unataka kumlisha mdau,au kuna nyingine?Usiwe na dhana mbaya...Wewe vunja Nazi maji nipe mie ninywe.....alafu tunakuna Nazi yetu...nachukua chopping board yangu Demi Depal nakataka kata zaga...
Tunaroast sato wetu vizuri Sana na Nazi Hiyo...alafu tunakula na wali....Baada ya hapo.... Mimi nasikitika kwanini sipungui...
Then maisha yanaendelea...
Pika wali wa nazi mkuuHapana alinipatia zawadi na kuniuliza endapo naweza kukuna. Kiukweli ninaye hadi mbuzi anayetumika na nimeweza kuikuna leo.
Sema roho na nafsi zinasisitiza kufahamu maana ya zawadi hii.
Nazi mbili zikiwa zimefungwa kwa ribbons kama zawadi.Nazi moja au nazi nyingi?
Kama nyingi kakuletea upikie
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...hiyo hiyoIle chopping board yenye fangasi ndio unataka kumlisha mdau,au kuna nyingine?
Mmhhh. Sijawahi kuona. Bora uulize kwa kweli.Nazi mbili zikiwa zimefungwa kwa ribbons kama zawadi.
Kwa kweli! Nimekula hayo mengine ni qadri tu. Naamini zitanijenga vyema.Mmhhh. Sijawahi kuona. Bora uulize kwa kweli.
Kirefu sifahamu! Isipokuwa nazi ni jamii ya tunda, karanga na mbegu yenye nyuzi nyuzi.Kwani kirefu cha nazi ni nini?