"Tafuta binti mbichi umkuze alafu umuoe achana na hao waliokomaa"

"Tafuta binti mbichi umkuze alafu umuoe achana na hao waliokomaa"

Age hyo unayotaka ndo damu inachemka,..na anatongozwa mara 20 kwa siku utamuweza,bora umchukue mzee 28 kashakikatia tamaa ametulia
 
Wengi sn wameniambia hivi.Nimelifanyia kazi naona linaenda vzr.Changamoto ni inabidi uwe mvumilivu kwn utakuta anasoma.Maelewano ni mazur sn na hana shida na ni mgeni kabisa ktk taasisi hii ya mapenzi.
Mkuu safi sanaaa
 
Age hyo unayotaka ndo damu inachemka,..na anatongozwa mara 20 kwa siku utamuweza,bora umchukue mzee 28 kashakikatia tamaa ametulia
28 hapana mkuu, huyu anakuwa na DNA ya wapenzi kibao,, hawara akimtaka anampata,,

Alafu hawa 28 ganda la ndizi,,

Ngoja tukuze vifaranga
 
Wewe ni mtetea kabisa bado kutaga tu unaweza kuparua kabisa. Nihangaike na vifaranga vyangu tu hata kuparua haviwez
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Mwanamke wa design hiyo itakula kwako. Mwanamke nikupambana naye kama vita vitaani
 
Usitutishe hatuogopi chochote dunia hii mchawi pesa tu.... Tunazitafuta then tunatulia kimya mwendo wa kutumbua tu bila usumbufu wowote ule
Bado mtatuhitaji wakati huo tupo na vifaranga vyetu tulivyovikuza nyie age itakuwa imeenda
 
Back
Top Bottom