RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
yeah tulikuwa AtufahamuKwan mlikua hamjui hili vijana
Malipo yenu ni thanks 😍 🤣 na 😡Ifike wakati wasoma comment tulipwe
Mimi nina tatizo opposite, mtoto wa Kiislamu yupo katika mfungo halafu anataka kuniona mimi wakati mimi naona kama nitamuharibia mfungo wake.Tafuta hela; aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa kwa gari na Bae wake jioni hii, muda huu anaelekea bafuni kuoga.
Tafuta hela; aliyekwambia kuwa huu ni mwezi wa mfungo usimtafute, ametumiwa hela ya nauli hivyo yupo kujiandaa ili akapande Bolt.
Tafuta hela; aliyekwambia usimguse mpaka ukajulikane kwa wazazi wake, wiki iliyopita ameguswa, juzi ameguswa, na jana ameguswa na watu ambao hawajulikani popote.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Hamuandiki notice kwenye vikao sio?yeah tulikuwa Atufahamu
Eeeh anatakiwa kufungwa.Kuna mmoja akaniambia, bao moja laki 2
Hiki kipindi cha mfungo waungwana wanagongewa Sana Sana sana hasa kama ameanza kukuchoka. Hakuna kitu inauma kama side chick akicheat.... maumivu yake Sio ya ulimwengu huuTafuta hela; aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa kwa gari na Bae wake jioni hii, muda huu anaelekea bafuni kuoga.
Tafuta hela; aliyekwambia kuwa huu ni mwezi wa mfungo usimtafute, ametumiwa hela ya nauli hivyo yupo kujiandaa ili akapande Bolt.
Tafuta hela; aliyekwambia usimguse mpaka ukajulikane kwa wazazi wake, wiki iliyopita ameguswa, juzi ameguswa, na jana ameguswa na watu ambao hawajulikani popote.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Kuna mpuuzi mmoja KABLA sijaokoka alinipima Ngoma kwa LAZIMA kwa hasira sikumoa.....sina urafiki na Manesi tenaKuna mmoja akaniambia, bao moja laki 2
Sasa hivi umeokoka 🤣,?Kuna mpuuzi mmoja KABLA sijaokoka alinipima Ngoma kwa LAZIMA kwa hasira sikumoa.....sina urafiki na Manesi tena
Kwani unaamini?Mimi nina tatizo opposite, mtoto wa Kiislamu yupo katika mfungo halafu anataka kuniona mimi wakati mimi naona kama nitamuharibia mfungo wake.
Siamini lakini sitaki kuwa sababu ya imani ya mtu kuharibika.Kwani unaamini?