Tafuta hela, aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa na Bae wake jioni hii

Tafuta hela, aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa na Bae wake jioni hii

Tafuta hela; aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa kwa gari na Bae wake jioni hii, muda huu anaelekea bafuni kuoga.

Tafuta hela; aliyekwambia kuwa huu ni mwezi wa mfungo usimtafute, ametumiwa hela ya nauli hivyo yupo kujiandaa ili akapande Bolt.

Tafuta hela; aliyekwambia usimguse mpaka ukajulikane kwa wazazi wake, wiki iliyopita ameguswa, juzi ameguswa, na jana ameguswa na watu ambao hawajulikani popote.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Tafuta hela
1741192286397.jpg
 
Tafuta hela; aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa kwa gari na Bae wake jioni hii, muda huu anaelekea bafuni kuoga.

Tafuta hela; aliyekwambia kuwa huu ni mwezi wa mfungo usimtafute, ametumiwa hela ya nauli hivyo yupo kujiandaa ili akapande Bolt.

Tafuta hela; aliyekwambia usimguse mpaka ukajulikane kwa wazazi wake, wiki iliyopita ameguswa, juzi ameguswa, na jana ameguswa na watu ambao hawajulikani popote.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Utakufa maskini
 
Hapan sio sahihi
Kuna walume ndago wananiambia mambo ya imani yake muachie aamue nwenyewe, kwani si imani yangu.

Wanasema "Akikualika wewe kula kuanzia iftar mpaka mpishi".

Bidada anasema ananialika kula iftar tu, mpishi mpaka Ramadhan ikiisha.

Mimi mwenyewe nimepata mtihani hapo.
 
Back
Top Bottom