gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hii inaonesha wapo mid-20s to mid-30s,wanahangaika na mahusianoKwan mlikua hamjui hili vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaonesha wapo mid-20s to mid-30s,wanahangaika na mahusianoKwan mlikua hamjui hili vijana
Duuhhh hatarMimi nina tatizo opposite, mtoto wa Kiislamu yupo katika mfungo halafu anataka kuniona mimi wakati mimi naona kama nitamuharibia mfungo wake.
Tafuta helaTafuta hela; aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa kwa gari na Bae wake jioni hii, muda huu anaelekea bafuni kuoga.
Tafuta hela; aliyekwambia kuwa huu ni mwezi wa mfungo usimtafute, ametumiwa hela ya nauli hivyo yupo kujiandaa ili akapande Bolt.
Tafuta hela; aliyekwambia usimguse mpaka ukajulikane kwa wazazi wake, wiki iliyopita ameguswa, juzi ameguswa, na jana ameguswa na watu ambao hawajulikani popote.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Bonge la ipsiiiTafuta helaView attachment 3260706
Tafuta hela😂😂😂Bonge la ipsiii
Hela ni ngumu sana mkuuTafuta hela😂😂😂
Utakufa maskiniTafuta hela; aliyekwambia yupo kwenye mfungo amerudishwa kwa gari na Bae wake jioni hii, muda huu anaelekea bafuni kuoga.
Tafuta hela; aliyekwambia kuwa huu ni mwezi wa mfungo usimtafute, ametumiwa hela ya nauli hivyo yupo kujiandaa ili akapande Bolt.
Tafuta hela; aliyekwambia usimguse mpaka ukajulikane kwa wazazi wake, wiki iliyopita ameguswa, juzi ameguswa, na jana ameguswa na watu ambao hawajulikani popote.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Mwenyewe anasema anataka kunipikia madikodiko yote ya iftar (nimeambiwa ni iftar, si futari).Duuhhh hatar
Hapan sio sahihiMwenyewe anasema anataka kunipikia madikodiko yote ya iftar (nimeambiwa ni iftar, si futari).
Hii halal au haram wasomi wa Uislam?
Kuna walume ndago wananiambia mambo ya imani yake muachie aamue nwenyewe, kwani si imani yangu.Hapan sio sahihi