huo muda wa kukaa na kujua wanaotumia msemo huo wengi mafukara unautoa wapi,, tafuta hela uache kufuatilia ya watuWengi wanaopenda kusema hii kauli ya TAFUTA HELA ni mafukara wazuri tu na ndio maana kuna muda naiona miyeyusho.
Ni misemo ya kebehi isiyo na uhalisia.Wengi wanaopenda kusema hii kauli ya TAFUTA HELA ni mafukara wazuri tu na ndio maana kuna muda naiona miyeyusho.
Tulia wewe tafuta helaπ€Msemo wa MABICHWA KOMWE huo.
Choka mbayaaa!!!
Mojawapo huyu hapa, njoo umlaumu. [emoji23][emoji23][emoji23]huo muda wa kukaa na kujua wanaotumia msemo huo wengi mafukara unautoa wapi,, tafuta hela uache kufuatilia ya watu
πππTulia wewe tafuta helaπ€
Wajinga wengi ndio wanautumia huu!!
Wakiamini utanunua Hadi mapenzi kwa mtu kumbe utanunua ngono so sad!!
Mi siamini kwamba pesa ndio Kila kitu!
Machoka mbaya!!! π€πππ
Hela hazitafutwi, zinategwa.
Ukizitega zinatiririka tu zenyewe kama naniliiiii.......
MABICHWA KOMWE ndio huwa wanatafuta hela wanaishia kudanja katika lindi la UKAPUKU π₯±π₯±
Cc Lamomy Poor Brain cocastic
πππππππππ una buku hapo?Machoka mbaya!!! π€
kuwa specific buku kitabu?? Au doπππππππππ una buku hapo?
Sema kitu babaHuu msemo dah, wacha niishie hapa.
Buku ya buku π₯±π₯±kuwa specific buku kitabu?? Au do
Tafuta hela uache kuandika siridi kama hiziWengi wanaopenda kusema hii kauli ya TAFUTA HELA ni mafukara wazuri tu na ndio maana kuna muda naiona miyeyusho.