Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😡Buku ya buku 🥱🥱
huo msemo sasahiv ndo wanawake wanautumia sana mkizinguana tu kidogo utasikia unakwama wapi mwanaume mzima wewe tafta helaWengi wanaopenda kusema hii kauli ya TAFUTA HELA ni mafukara wazuri tu na ndio maana kuna muda naiona miyeyusho.
Utawasikiaje wakati wenzako walishatoka maghetoni Kitambo...Mo, Bakhressa au GSM hautawasikia wakisema hivyo
Huyo huyo muhubiri na pesa zake zote akahitimisha mambo yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!achaga ubishi, hata biblia inajua mambo ya pesa
Mhubiri 10:19
Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, nao mvinyo hufurahisha maisha, lakini fedha ni jawabu la mambo yote.
Nakubaliana na ww kabisa antiel hata mimi ilikua zamani sijui...😂😂😂
Hela hazitafutwi, zinategwa.
Ukizitega zinatiririka tu zenyewe kama naniliiiii.......
MABICHWA KOMWE ndio huwa wanatafuta hela wanaishia kudanja katika lindi la UKAPUKU 🥱🥱
Cc Lamomy Poor Brain cocastic