Hapo hata sio ku fake ila ni kujitambulisha kama raia wa kawaida tu. Ambaya anaishi chini ya dola 1Mnataka kutaftiana lawama tu. Kama mtu ana upendo atakupenda tu haina haja ya kufake maisha😃
Sasa ndo msijifanye hamna hela kabisa.. mtawatesa...ww kuwa nazo ila mpime kwny hizo hizo hela siku unamwambia huna uone atakusaidiaje...siku una mwambia akusaidie na yeye kidogo umekwama uone atakupa? Hivyo ndo vipimo..ila kujifanya kapuku kabisa mhhh...Maokoto yakiwa kiungo jua ipo siku mtaachana tu. 😀 Akipatikana mwenye namba kukuzidi utaachwa mchana kweupe wanawake wenye tamaa ya hela hawajuagi kuridhika.
Yani hawajiamini hata kidogo 😅😅Waambie mdg wangu....
Wasiwasi wenu tu 😃😃Hapo hata sio ku fake ila ni kujitambulisha kama raia wa kawaida tu. Ambaya anaishi chini ya dola 1
Kila siku wana bunu mbwinu... 😀 😀 😀 😀Yani hawajiamini hata kidogo 😅😅
Yani wanawaza kuachwa tu mda wote 😃😃😅Kila siku wana bunu mbwinu... 😀 😀 😀 😀
Ila maisha ya sasa daaah
Amesema mazingira magumu?
Well, huo ni mfumo wa maisha ya dada zetu toka enzi hata leo hali hio ipo tena nadhani imezidi kiwango.upo sahihi mzee ila wanawake hawakubaligi kuambiwa ukweli sikuzote huaminigi uongo tongoza demu umwambie mi ni mumachinga wa kawaida kila siku jua langu mvua yangu samtaim napigaga ndefu uone kama utampata .wazee walikuwa wananisimulia walipo kuwa wanatafuta wake walikuwa wana azima pamba,akiona funguo ya gari,piki piki funguo za nyumba anaokota baadae anafunga lundo la funguo kwenye key chain.kwa hiyo dem alikuwa akipigwa swaga anaonyeshwa funguo za land kuruza anapagawa mwishowe anaamua kung'oa mke,wanawake hawakubali ukiwa ambia maisha yako halisi unakosa mke,wanawake wameumbwa kwa ajili ya kudanganywa rejea hata kwenye bustani ya edeni,
Hii sawa naunga mkono hoja ila sio mwanaume ndio ufanye ndio utaratibu kuitegemea hela au msaada wa mwanamke wako.Sasa ndo msijifanye hamna hela kabisa.. mtawatesa...ww kuwa nazo ila mpime kwny hizo hizo hela siku unamwambia huna uone atakusaidiaje...siku una mwambia akusaidie na yeye kidogo umekwama uone atakupa? Hivyo ndo vipimo..ila kujifanya kapuku kabisa mhhh...
Mm nlitaka nishangae Boss wangu hujatimba uziii huu kuja kuelimisha vijanaMaokoto yakiwa kiungo jua ipo siku mtaachana tu. 😀 Akipatikana mwenye namba kukuzidi utaachwa mchana kweupe wanawake wenye tamaa ya hela hawajuagi kuridhika.
Wasiwasi wenu tu 😃😃
Unapigwa kama ngoma yani, 😀Mm nlitaka nishangae Boss wangu hujatimba uziii huu kuja kuelimisha vijana
Cha msingi ni kumwomba MUNGU tu maana haya mambo hayana formula ya uhakika unaweza dhani umepata kuumbe umepatikana
Uambiwe ukweli sina jambo ili unikatae 🤣? Nani anataka kuwa single mileleMwambie mtu ukweli kama huna kitu au uko vizuri or kawaida, usifake maana kuna wenye upendo wa kweli hawataangalia mali zako ndiyo wakukubalie. Yafaa nini kuwa na mtu uliyempendea hela zake ila moyoni hayupo kabisa Unashindwa hata kuongozana naye barabarani? 🤔
We mrs una kitu utafika mbaliMwambie mtu ukweli kama huna kitu au uko vizuri or kawaida, usifake maana kuna wenye upendo wa kweli hawataangalia mali zako ndiyo wakukubalie. Yafaa nini kuwa na mtu uliyempendea hela zake ila moyoni hayupo kabisa Unashindwa hata kuongozana naye barabarani? 🤔
Mkuu kuna atakayekupenda wewe jinsi ulivyo, pesa zinatafutwa tu ila kwanza upendo ujue😀Uambiwe ukweli sina jambo ili unikatae 🤣? Nani anataka kuwa single milele
Tatizo huwa mu wanafiki sana yani. Ukionesha hela amna demu anakataa hata wale wezi wanaopenda offer watakuzunguka kama Mwenge 😀Sasa ndo msijifanye hamna hela kabisa.. mtawatesa...ww kuwa nazo ila mpime kwny hizo hizo hela siku unamwambia huna uone atakusaidiaje...siku una mwambia akusaidie na yeye kidogo umekwama uone atakupa? Hivyo ndo vipimo..ila kujifanya kapuku kabisa mhhh...