Financial services mbona ni mtu poa kwangu huyu mdada wa watu, shida ni huyu queen, hahahaaa eti alinipa sharti nikitaka aje anitembelee nimnunulie simu, maana yake alipoteza, sijui huyu mdada alinidharau na kuniona mshamba kiasi gani, Kiukweli nina mwonekano wa ukimya, alidhani mimi ni boya sijui.. Atoto financial services🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa kwani financial services ndio huyo kwini wako?
Binti aliamini na kutaka kuolewa na mwanaume wa miaka sitini? Basi hana akili.nilifanya jaribio la kuoa nikatuma mshenga akaeleze muoji hana kazi ya kipato cha kueleweka, amepanga chumba, hana kitanda na godoro analalia maboksi chini, maisha yake hayana msisimko wa mali, ana miaka sitini. Binti alikubali akasema huyo ndio mzuri tutaanza naye maisha chini na tutafanikiwa. Binti alikuwa na mtazamo wa aina yake tofauti na wengine wanaoangalia ujazo wa mali ndio wakubali kuolewa
Rafiki wewe upo upande gani?
sasa utajuaje kama mdada anakupenda kweli?Kwa maisha ya sasa ni wachache sana watakaopatikana kwa namna hiyo,si rahisi mtu kuchagua kwenda panapoonekana na maisha magumu hata kama yeye mwenyewe ana maisha magumu
[emoji23][emoji23]Binti aliamini na kutaka kuolewa na mwanaume wa miaka sitini? Basi hana akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Kuna mdada alikuwa hataki kuongozana na mimi barabarani eti ananiambia watu wakituona inakuaje, gheto haji, vizinga ananipiga, blady faken, queen popote ulipo, ubwa weee financial services
Ambae atakufaa kwenye ustawi wa familia yako kuliko hao maslay queen wawapao majaka ya moyoNi ujumbe mzuri, tatizo zile pisi kali zote utazikosa, utapata bora tu anayepumua
Pole mwaya.Financial services mbona ni mtu poa kwangu huyu mdada wa watu, shida ni huyu queen, hahahaaa eti alinipa sharti nikitaka aje anitembelee nimnunulie simu, maana yake alipoteza, sijui huyu mdada alinidharau na kuniona mshamba kiasi gani, Kiukweli nina mwonekano wa ukimya, alidhani mimi ni boya sijui.. Atoto financial services
Dogo ngoja upendwe kwanza utajua tu [emoji23][emoji23]sasa utajuaje kama mdada anakupenda kweli?
hujajibu swaliDogo ngoja upendwe kwanza utajua tu [emoji23][emoji23]
Ni kweli na ili ufaidi nyumbani, panatakiwa pawe tulivuAmbae atakufaa kwenye ustawi wa familia yako kuliko hao maslay queen wawapao majaka ya moyo
Mkuu nakukumbusha tuu akufaaye kwa dhiki ndiye RAFIKI WA KWELI na wala siyo mke, hili ukae ukilijuaHasa kiuchumi, hata kama upo vizuri. Jifanye huna kitu, usijionyeshe, acha mbwembwe na usanii. Je, njia hii yaweza wasaidia vijana?
Rejea, akufaae kwa dhiki.
kipimo sahihi ni kipiAliwadanganya nani umaskini ni kipimo cha uaminifu??🤣😁🤣😁🤣
Hata wewe I challenge uiwezi..ila kujifanya kapuku kabisa mhhh...