Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

Mzee wa vipinchi naona umedadavua kwa mabana yake.
 
Duuu mkuu una bahati ya mtende🀣🀣
 
Mie naamini mtu yoyote ili uishi kwa Raha tafuta mtu ambae anakupenda hakuna mwanamke asiependa kitu aisee wanawake wote ndio walivyo xo make sure jua namna ya kumcontrol tu na pia usisahau hela utatua matatizo mengi
 
Kuna jamaa alipata ajali.....alilazwa hospitali....Kuna nesi alimhudumia vizuri...hata siku akiwa off humletea chochote.....kwa kifupi jamaa alikuja kumuoa yule nesi....Leo hii wanawajukuu.....ndoa ipo barabara.
Alpha blond yeye alisanda mpka leo anamsaka nesi Fanta
 
Maokoto yakiwa kiungo jua ipo siku mtaachana tu. πŸ˜€ Akipatikana mwenye namba kukuzidi utaachwa mchana kweupe wanawake wenye tamaa ya hela hawajuagi kuridhika.
you nailed it kaka.

There are always bigger fishes than you, kama ulimpata kwa pesa jua kuna possibility kubwa ya kuachwa wenye pesa zaidi yako wakija
 
Hasa kiuchumi, hata kama upo vizuri. Jifanye huna kitu, usijionyeshe, acha mbwembwe na usanii. Je, njia hii yaweza wasaidia vijana?

Rejea, akufaae kwa dhiki.
Hili ni lako tu. Ukiwa na dhiki siku ukizipata utafanyeje?

After all mapenzi ya siku hizi ni kuvumiliana tu ili msogee mbele.
 
Aliwadanganya nani umaskini ni kipimo cha uaminifu??🀣😁🀣😁🀣
Angalia ndoa zilizofanikiwa wake zao wanafananaje....
 
Aliwadanganya nani umaskini ni kipimo cha uaminifu??🀣😁🀣😁🀣
Angalia watu waliofanikiwa wake zao wanafananaje....
 
Hasa kiuchumi, hata kama upo vizuri. Jifanye huna kitu, usijionyeshe, acha mbwembwe na usanii. Je, njia hii yaweza wasaidia vijana?

Rejea, akufaae kwa dhiki.
Wanawake wa siku hizi hawako hivyo mtasota wote mkitoboa tu unapigwa knockout unalala njeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…