Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

upo sahihi mzee ila wanawake hawakubaligi kuambiwa ukweli sikuzote huaminigi uongo tongoza demu umwambie mi ni mumachinga wa kawaida kila siku jua langu mvua yangu samtaim napigaga ndefu uone kama utampata .wazee walikuwa wananisimulia walipo kuwa wanatafuta wake walikuwa wana azima pamba,akiona funguo ya gari,piki piki funguo za nyumba anaokota baadae anafunga lundo la funguo kwenye key chain.kwa hiyo dem alikuwa akipigwa swaga anaonyeshwa funguo za land kuruza anapagawa mwishowe anaamua kung'oa mke,wanawake hawakubali ukiwa ambia maisha yako halisi unakosa mke,wanawake wameumbwa kwa ajili ya kudanganywa rejea hata kwenye bustani ya edeni,

Na hu ndio ukweli mzito…
Wadada wanapenda uwongo
Ukimdanganya ndio unampata
 
Well, huo ni mfumo wa maisha ya dada zetu toka enzi hata leo hali hio ipo tena nadhani imezidi kiwango.

Wanawake wanapendaga mtu mwenye value, iwe ni fedha au umaarufu ama chochote kitakachokufanya u stand out kwenye jamii. Hili sio tatizo endapo dhamira ni kufanya maisha pamoja ila shida inakuja tunapokuwa abused.

Kadri utandawazi ulivyoongezeka hali imekuwa mbaya zaidi maana wanawake tamaa zimezidi huku wakitamani kila mtu mwenye fedha wamtumie kwa manufaa binafsi. Lengo ni kunyonya mandezi wenye hela wasiojua matumizi sahihi na kuzitapanya. Zikiisha anahamia kwa mwengine. Huu ni ujinga mno.
 
Mwambie mtu ukweli kama huna kitu au uko vizuri or kawaida, usifake maana kuna wenye upendo wa kweli hawataangalia mali zako ndiyo wakukubalie. Yafaa nini kuwa na mtu uliyempendea hela zake ila moyoni hayupo kabisa Unashindwa hata kuongozana naye barabarani? 🤔
Kuna mdada alikuwa hataki kuongozana na mimi barabarani eti ananiambia watu wakituona inakuaje, gheto haji, vizinga ananipiga, blady faken, queen popote ulipo, ubwa weee financial services
 
Hasa kiuchumi, hata kama upo vizuri. Jifanye huna kitu, usijionyeshe, acha mbwembwe na usanii. Je, njia hii yaweza wasaidia vijana?

Rejea, akufaae kwa dhiki.
Kama ni dhiki acha zije zenyewe! Epuka kabisa 'kupretend' utampoteza unayempenda kwa dhati!

Vijana acheni majaribu yaje yenyewe msiyatafute!
 
Oa mwanamke yeyeto umpendae ukimpata mwema utamshukuru Mungu ukikosea utakuwa mwalimu mzuri wa ndoa kuwashauri wengine wasikosee
 
Kuna mdada alikuwa hataki kuongozana na mimi barabarani eti ananiambia watu wakituona inakuaje, gheto haji, vizinga ananipiga, blady faken, queen popote ulipo, ubwa weee financial services
Sasa hapo mwishoni ni mimi ama nani huyo aliyekua hataki kuongozana na wewe? Ndiyo shida ya kupendewa hela hiyo, hupendwi wewe inapendwa pochi 😀
 
Back
Top Bottom