financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaa haya banaWe mrs una kitu utafika mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa haya banaWe mrs una kitu utafika mbali
Wanaojua kwanza upendo huwezi kuwapata kirahisi mjini tunapoishi humu 🤣!Mkuu kuna atakayekupenda wewe jinsi ulivyo, pesa zinatafutwa tu ila kwanza upendo ujue😀
🤣 We ntakufata na chombo ya phoniex na soda yetu dafu ili nione kama unathamini utu.Kila siku wana bunu mbwinu... 😀 😀 😀 😀
Ila maisha ya sasa daaah
Wapo wengi tu, shida ni hiyo kuamini hawapo akili inajitune hivo.😀Wanaojua kwanza upendo huwezi kuwapata kirahisi mjini tunapoishi humu 🤣!
Basi sawa,, endeleeni😃😃🙌Wasi wasi ndio akili sio Mwabulambo 🤣
Utoto huuHasa kiuchumi, hata kama upo vizuri. Jifanye huna kitu, usijionyeshe, acha mbwembwe na usanii. Je, njia hii yaweza wasaidia vijana?
Rejea, akufaae kwa dhiki.
upo sahihi mzee ila wanawake hawakubaligi kuambiwa ukweli sikuzote huaminigi uongo tongoza demu umwambie mi ni mumachinga wa kawaida kila siku jua langu mvua yangu samtaim napigaga ndefu uone kama utampata .wazee walikuwa wananisimulia walipo kuwa wanatafuta wake walikuwa wana azima pamba,akiona funguo ya gari,piki piki funguo za nyumba anaokota baadae anafunga lundo la funguo kwenye key chain.kwa hiyo dem alikuwa akipigwa swaga anaonyeshwa funguo za land kuruza anapagawa mwishowe anaamua kung'oa mke,wanawake hawakubali ukiwa ambia maisha yako halisi unakosa mke,wanawake wameumbwa kwa ajili ya kudanganywa rejea hata kwenye bustani ya edeni,
Well, huo ni mfumo wa maisha ya dada zetu toka enzi hata leo hali hio ipo tena nadhani imezidi kiwango.
Wanawake wanapendaga mtu mwenye value, iwe ni fedha au umaarufu ama chochote kitakachokufanya u stand out kwenye jamii. Hili sio tatizo endapo dhamira ni kufanya maisha pamoja ila shida inakuja tunapokuwa abused.
Kadri utandawazi ulivyoongezeka hali imekuwa mbaya zaidi maana wanawake tamaa zimezidi huku wakitamani kila mtu mwenye fedha wamtumie kwa manufaa binafsi. Lengo ni kunyonya mandezi wenye hela wasiojua matumizi sahihi na kuzitapanya. Zikiisha anahamia kwa mwengine. Huu ni ujinga mno.
Kuna mdada alikuwa hataki kuongozana na mimi barabarani eti ananiambia watu wakituona inakuaje, gheto haji, vizinga ananipiga, blady faken, queen popote ulipo, ubwa weee financial servicesMwambie mtu ukweli kama huna kitu au uko vizuri or kawaida, usifake maana kuna wenye upendo wa kweli hawataangalia mali zako ndiyo wakukubalie. Yafaa nini kuwa na mtu uliyempendea hela zake ila moyoni hayupo kabisa Unashindwa hata kuongozana naye barabarani? 🤔
Kwahiyo mnataka kutuambia waliooa wote kwenye hii nchi ni matajiri?
🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa kwani financial services ndio huyo kwini wako?Kuna mdada alikuwa hataki kuongozana na mimi barabarani eti ananiambia watu wakituona inakuaje, gheto haji, vizinga ananipiga, blady faken, queen popote ulipo, ubwa weee financial services
Bwana wapo wengi yupi.Mke mwema hutoka kwa bwana,usiwahi kuamini kiumbe kinachoongozwa na hisia pekee
Kama ni dhiki acha zije zenyewe! Epuka kabisa 'kupretend' utampoteza unayempenda kwa dhati!Hasa kiuchumi, hata kama upo vizuri. Jifanye huna kitu, usijionyeshe, acha mbwembwe na usanii. Je, njia hii yaweza wasaidia vijana?
Rejea, akufaae kwa dhiki.
Hakuna mtu asiyetazama maslaiNdio maana ndoa zinavunjika.
Wengi huolewa na kitu wala si mtu.
Sasa hapo mwishoni ni mimi ama nani huyo aliyekua hataki kuongozana na wewe? Ndiyo shida ya kupendewa hela hiyo, hupendwi wewe inapendwa pochi 😀Kuna mdada alikuwa hataki kuongozana na mimi barabarani eti ananiambia watu wakituona inakuaje, gheto haji, vizinga ananipiga, blady faken, queen popote ulipo, ubwa weee financial services
Amenishtua sana😀🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa kwani financial services ndio huyo kwini wako?