Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

Tafuta mke ukiwa katika mazingira magumu

Sasa ndo msijifanye hamna hela kabisa.. mtawatesa...ww kuwa nazo ila mpime kwny hizo hizo hela siku unamwambia huna uone atakusaidiaje...siku una mwambia akusaidie na yeye kidogo umekwama uone atakupa? Hivyo ndo vipimo..ila kujifanya kapuku kabisa mhhh...
Bora wafanye hivi,hiyo ya kujifanya hawana kabisa ni ukatili wa kijinsia,ukemewe!
 
pesa zinatafutwa tu ila kwanza upendo ujue
Kuna wanawake wameweka Pesa mbele kutokana na mazingira waliyokulia na sometimes marafiki kuna baadhi ya marafiki wa kike uwaharibu wenzao kwa kuwafunza ujinga aidha kwa kutaka kuwaharibia au kwa kufanya tu makusudi,

Mwanamke akipata jamaa amemwelewa break ya kwanza kwa shoga yake kidawa kumueleza nimepata Bwana sasa kidawa atataka kujua je Bwana huyo ana maokoto ndio hapo ushenzi unapoanzia vinaanza virungu vya kijingajinga kumbe anaepiga jeki ni rafiki wa Mwanamke

Kuna wanawake akili sifuri yaan akili za rafiki yake ndio zinazoendesha maisha yake kila kitu anachofanya basi ameambiwa na rafiki yake fanya hivi, watoto waliokulia pande moja single mother rafiki zao ni mama zao Sasa binti kila kitu anamwambia mama na mama anamwambia binti mkomoe huyu mwambie akufanyie hivi au hiki na hiki usimpe mnyime,

You can't believe Ila niliwahi date na binti mmoja ambae amekulia mazingira ya kuishi na mama yake tu Sasa wakati wa kula tunda akanitamkia kua hivi na hivi mama kasema nisikufanyie mpaka unioe nikaona doooh kumbe hapa ninaoa mama na mwanae yaan Mambo ya chumbani binti anapewa maelekezo kutoka kwa mama yake na mama anajua tunafanya kale kamchezo kabla ya Ndoa na kila tunayoyafanya anaenda kumsimulia tumefanya hivi na vile na vile alafu mama anatoa muongozo siku nyingine usimfanyie hivi na hivi atakua hakuoi
 
Nani atakubali kuolewa bila kujua uhakika wa maisha mazuri? Wazazi wenyewe ni kikwazo kutoa binti yao aolewe na asiye na kitu
kuna mzee kaanzisha uzi huko anatema shit kwa vijana wanaojitafuta.... huu ushauri wake haufany kazi
 
Back
Top Bottom