Tafuta pesa achana na siasa za Tanzania. Je, wajua Tanzania siasa ni ajira?

Tafuta pesa achana na siasa za Tanzania. Je, wajua Tanzania siasa ni ajira?

Atuli siasa bali ni ziada kama burudani baada ya kazi
 
mentality km hizi ndizo zinazorudisha nyuma hii nchi, na pengne umeandika huu uzi unaona umeandika point...
.
hapo ni kuwa umeandika pumba boss

maisha ya kawaida ya kila siku wananchi yanategemea siasa kwa zaidi ya 85% na ndo maana nchi wanazijielewa wanasiasa wakichafukwa hakujawahi kuwa na amaani ni vita tuu ila kwa kuwa uku kwetu hatujui nn maana ya siasa tunaishia kuburuzwa tu.
Safi sana huyu ndie anaefanya watanzania wanakuwa maboya yasio jielewa.anawapotosha wabaki wanashabikia mpira peke yake bila kujadiliana kuhuisu nchi yao na uchumi unavyopelekwa.
Wanataka waitafume nchi kama mchwa peke yao mtanzanoa awe ameinama kama kondoo
Anataka watu wote waione ccm kama baba yao na mama yao amnao ni ujinga mtupu
Yaan nchi zenye watu wa ovuo mi tanzania na afrika kusini ndo maana unaona mtu hajui maana ya kupiha kura
Baada ya kurudisha chama hivho hicho madarakani .anaanza kulalamika hichi kimepanda mata ajiri hakuna wakati ni wewe ndio umewarudisha
Hawajui kama kura ndio siraha zeo za kuwaweka mahali wanapopataka
Kupiga kura na kutengeneza mjadara ndio fursa pekee ya kujua kesho mtaishi vipi.sio kulalamika kila siku
Unakuta jinaba zima linalalamika eti mimi sipigi kula kwani nawaneemesha wana siasa
Huo ni ujinga na ujuha
JADILIANENI KUHUSU NCHI YENU INAPELEKWA WAPI NA INATOKA WAPI??
JADILIANENI KUHUSU SIASA ZA NCHI YENU ILI MUWAJUE MAFISADI NA WAKIOKUJA KWA AJILI YA KUWATUMIKIA
SIO WEWE RAIA UMTUMIKIE MWAMASIASA.YEYE NDIE ANAETAKIWA KUWATUMIKIA
CHAMA KIKIKAA SANA MADARAKANI KIMAJIONA WAO KAMA MIUNGU WATAKALO WAAMULIA HAMUWEZI KUPINGA WALA KUWATOA MADARAKANI
NDICHO KIOJA KINACHOENDELEA TANZANIA


ACHENI KULALAMIKA CHUKUENI HATUA
Hawa watu wamejipanga na maandishi yao.mmoja wapo ndio huyu mwenye hii post
 
Uo unaitwa UKWEL MCHUNGU japo wataibuka wale wa upande ulee kukutukana kila aina ya tusi, na hiyo inasababishwa na wao kupingana na Nature na maisha ya Tz.

Kuna muda inafika inabidi upambane na kubase kto maisha yako Fulo stio, kupambania mambo ambayo huyawez ni kujichosha na kujiharibia ndoto zako.

Figh for your Destin bila kuwahusisha wengine usiowaweza kinguvu
 
GUSSIE ;Vipi unakumbuka Mwalimu Nyerere alisemaje kuhusu Nchi ili ipate maendeleo inahitaji nnini?Alisema Watu,Ardhi na Siasa safi.Watu ni professional labours,Aridhi inajulikana kazi yake na Siasa safi ni mipango inayowekwa na viongozi ili kuleta maendeleo.Sara mbovu huleta matokeoa mabovu na sera nzuri huleta matokeoa mazuri .Hivo basi basi siasa ndiyo inaleta mwelekeo upi wakiuchumi .Una hoja nzuri lakini umeiandika kisiasa zaidi .
Ilikuwa wakati wa ujima na enzi za bara giza
 
Usipokuwa na malengo na maono ya mbali utaishia kujadili maisha ya wana ccm na wanasiasa mpaka uzee wako huku hakuna faida unayopata zaidi ya kutengeneza duara la umaskini Katika familia yaani (Family poverty life cycle)

Mawazo yako ndio msimamo wa maisha ya watoto na wajukuu zako baadae,

Usipotafuta pesa za kutosha na kujenga familia imara utaishia kuilaumu serikali wakati wote na kuwaita waliowekeza kwa watoto wao mafisadi

Usipoangalia Faida na hasara Katika maisha kwa kila jambo unalofanya utakuwa na matatizo makubwa na umaskini mkubwa

Ulimjadili Rais Mkapa mwaka 1995-2005. Je, ulipata faida kiasi gani?

Ulimjadili Kikwete J mwaka 2005-2015. Je, ulipata faida kiasi gani?

Ulimjadili Magufuli JP mwaka 2015 mpaka 2021. Je, ulipata faida kiasi gani?

Na sasa unamjadili Chief Hangaya, Mama ambaye amejaza mapesa mtaani, Tenda kila kona ya nchi. Je, umepata faida kiasi gani?

Tangu mwaka 1995 hapo juu ungechukua maamuzi magumu ya kuunga mkono upande wa siasa zenye faida mwanao sasa angekuwa na miaka 27 na tayari ungekuwa umempenyeza kwenye siasa za Tanzania

Cha kushangaza yawezekana wewe na mtoto mpo hapa JF mnarudia makosa yale yale ya kujadili hasara badala ya upande wenye faida hivyo mzunguko wa umaskini wa Familia ni endelevu (an endless family poverty life cycle)

Lazima uunge mkono upande unaopata faida na sio upande unaopata hasara, Hakuna anayefanya biashara ili kupata hasara, Siasa za Tanzania ni kazi na ajira kama kazi zingine za Engineers, Doctors, Bankers, Architect

Hakuna mtu awe mbunge atakaye kupigania wewe upate maendeleo wakati wewe mwenyewe hutaki kupiganiwa na kuchagua upande wake wenye Faida

Tafuta pesa na tambua siasa za Afrika na Tanzania nia ajira, Tunawapigia watu Kula na sio kura

Jitafakari unalofanya lina faida na chukua hatua mapema

Katika maisha ni lazima kupima mambo kwa kuangalia faida na hasara, je ni faida gani unapata ukiwa mwana ccm na ni hasara gani unapata ukiwa Chadema?
Wewe pia inajadili siasa, umepata faida gani?
 
mentality km hizi ndizo zinazorudisha nyuma hii nchi, na pengne umeandika huu uzi unaona umeandika point...
.
hapo ni kuwa umeandika pumba boss

maisha ya kawaida ya kila siku wananchi yanategemea siasa kwa zaidi ya 85% na ndo maana nchi wanazijielewa wanasiasa wakichafukwa hakujawahi kuwa na amaani ni vita tuu ila kwa kuwa uku kwetu hatujui nn maana ya siasa tunaishia kuburuzwa tu.
Nenda kalipe tozo
 
Back
Top Bottom