Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jichanganye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema nimeshtuka pisi Ina gari halafu haina bundle????!!!![emoji23][emoji23][emoji23]
The ball is in your courtSasa nikiwaacha si nitaonekana mzembe??
Huo mwandiko wa kwetu huku kwa mtogole tunajuana.mkuu Hawa wakishua huwa hawana miandiko mizuri
WaambieJiandaeni kupigwa matofali kama yule jamaa wa njombe. Hata uwe na pesa mke wa mtu ni mke wa mtu. Na mtakapo lawitiwa baada ya kufumaniwa msiache kuja kuanzia mada humu kutoa ushuhuda
Bora uonekane mzembe ila marinda yapone.Sasa nikiwaacha si nitaonekana mzembe??
UsinilazimisheNahitaji ushauri wako....but uwe positive (usi contradict na topic above
😆😁😄😃😃🙂Huyo Alipigwa KizingaKama simu Haina bundle hiyo gari cjui km ipo.🤣🤣🤣
Sawa,nimeelewaNi order
Please call 911! Emergency, emergency, emergency, one man down! OverAu nataka nipigwe Kitu kizito!!!!!¿¿¿View attachment 2359899
Nmecheza mechi 10 ....sijawahi fumaniwa