Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za fb unazileta hukuSalaam Wana JF nikianza kwa vyeo vyenu: new members, members, jf experts, na
wale ma Platinum members ambapo jf nzima tupo Mimi LABAN og na Mshana Jr
Back to the topic
Baada ya kufanya utafiti ( research) kwa muda wa miaka 20 nimekuja kugundua kuwa pesa Ina nguvu kubwa kuliko heshima ya mtu, umri hapa duniani especially kwenye mapenzi
Hili limetokea baada ya hapa kitaa nilipopanga kutrend habari za Mimi kumpiga Kitu kizito muhindi ( betting) nimeona rate ya dadaz wa Rika zote wakijisogeza kwangu......salaam haziishi......namba ngeni kila siku wakilalamika kuwa nmekuwa adimu ilihali wengi wao Ni married tayari!!!!!!!!
Nb. Vijana tafuteni pesa .....now nipo napanga ratiba ya kuanza kubandua mmoja mmoja[emoji23][emoji23]
Ushauri wenu.....vipi dozi iwe mara ngapi kwa siku????????
But ushauri uwe constructive tu (positive)[emoji23][emoji23][emoji23]
Dadeeeeki, target acquired, firing squad on the way! OverTerrorist in Target [emoji23][emoji23]
Mke wa mtu ni sumu kwangu na hizi hela zanguTutafute pesa mkuu
Uache kula mali za watu 😂 acha kabisa rafiki yangu yatakukuta makubwa.Tuombeane mema mkuu[emoji23][emoji23]
Laki moja tu?Au nataka nipigwe Kitu kizito!!!!!¿¿¿View attachment 2359899
Hakuna mke wa mtu, ina maana hata mama yake ni mwendokasi? Ni mada ya kijinga kabisa, eti anatafuta pesa aanze kutembea na wake za watu? This is stupidity of the highest order!!Kuna relation gan na topic tajwa???
Sasa nikiwaacha si nitaonekana mzembe??