Tag and Ask

Mkuu kwa honey faith inabidi uwe mvumilivu..Mana kuna foleni kubwa..Mpaka zamu yako ifike sio leo

Mhhh Foleni???????
Hakuna sehemu isiyo na foleni bwana.
Hata kanisani tunavyotoa sadaka tunapanga foleni.
Dar yenyewe na ile foleni kubwa kuna watu wanawahi kazini kila siku na wanaamka saa moja kamili.
 
B. Babu Asprin unaumri gani kwa sasa? Je hauoni ni wakati mwafaka wa kutuachia warembo na sisi tusuze Rungu zetu wajukuu zako?
Nina miaka 65.

Muda muafaka ulishafika kitambo, sasa mi nifanyeje kamam vijana mmeshindwa kazi wajukuu wanajileta wenyewe??

Katika somasoma yako, hujawahi kukutana na msemo "ng'ombe hazeeki maini"?

Ukishayajua hayo, tafakari na chukua hatua kwa maana Msaada wa watu wa Marekani umeshasitishwa na Donald Trump.
 

Hahaha... I'm satisfied. Kama pepa una A ya ndalichako
 
Hahaha... I'm satisfied. Kama pepa una A ya ndalichako
Kwa sababu una adabu nzuri, nakuzawadia mjukuu wangu mmoja uburudike naye usiku kucha kwa gharama zangu.

Chagua mmoja kati ya hwa wafuatao
1. Valentina ... Huyu ana chura la kufa mtu
2. Honey Faith Haka ni kapotabo, unakabeba utakavyo.... ila kanapenda sana style ya popo kanyea mbingu
3. Heaven Sent ... Huyu ni wa wastani sema ni mnoko balaa... hakupi gemu kabla hamjasali
4. espy .... Haka hakajui kukataa giza likiingia. Ila hakana ushirikiano sana kwenye uchezeshaji wa viungo...
 


[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]..babu niligangiwa vyura. Nikiiona tu nadondosha udenda.
Valentina ananifaa na huo mpododooo wake.

Honey Faith baadae saana

Heaven Sent ni shemeji yangu

espy anapenda pesa saana walet itakonda
 
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]..babu niligangiwa vyura. Nikiiona tu nadondosha udenda.
Valentina ananifaa na huo mpododooo wake.

Honey Faith baadae saana

Heaven Sent ni shemeji yangu

espy anapenda pesa saana walet itakonda
Haya kamata Valentina ukafanye naye burudani.

asubuhi umrudishe akiwa kachoka. Nataka alale sana wakati nikiwa bize na shoga yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…