Tag and Ask

Mi napenda kuuliza kwa ujumla humu JF mbona watu hawaweki Avatar zao halisi? Kuna nn? Sura ngumu au?
Wengine wanatafutwa humu na rijeshi ra porisi,unataka waweke picha zao wachotwe kiboya?.
 
Kuna mtu natamani nimuulize kitu ila kila nikitaka kumuita nashindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…