Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokuandika mara kwa mara nacho kipaji,
Cheers babe..❤️Wawili tu?! Wengine tunao mia kidogo ila kwa kuanzia nakazia hao hao uliowatag wewe.
Shunie haka kababe nakapenda kabisa kwanza kako charming, pili ni mfuasi wa mastory anayopost huko entertainment.
Smart911 huyu mpendwa hanaga makuu, humkuti kwenye malumbano hasi hata kwa bahati mbaya. pia siku hizi kawa mtundu sana kwenye comments zake....ila mambo yake ngoja nimuachie mwenyewe.
Nyongeza:
#Maboss zangu na nusu 💕 Mjep yna2
# pia kuna bibi Zuu Zoë
.......na hapo bado kuna wale secret admirers ' nyie ndio mnaitaga ma-crush eeh! Hapa wako kama mia 3 ishirini.
Wawili tu?! Wengine tunao mia kidogo ila kwa kuanzia nakazia hao hao uliowatag wewe.
Shunie haka kababe nakapenda kabisa kwanza kako charming, pili ni mfuasi wa mastory anayopost huko entertainment.
Smart911 huyu mpendwa hanaga makuu, humkuti kwenye malumbano hasi hata kwa bahati mbaya. pia siku hizi kawa mtundu sana kwenye comments zake....ila mambo yake ngoja nimuachie mwenyewe.
Nyongeza:
#Maboss zangu na nusu 💕 Mjep yna2
# pia kuna bibi Zuu Zoë
.......na hapo bado kuna wale secret admirers ' nyie ndio mnaitaga ma-crush eeh! Hapa wako kama mia 3 ishirini.
Aah ndio nimekosea niwewe HannahHapo kwenye Annah ni Mimi?
Mwenza si unitag tu unazuga nini?
Nikujuavyo baharia huwezi kutag hata wakuwekee kisu shingoniKaka ongeza wafike hata wanne tuanze kuwa tag, wawili wachache, tunao wakubali ni wengi mno.