Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Kutokuandika mara kwa mara nacho kipaji,
Mimi niliamua kufungua verified Id ili angalau nijifunze kufunga mdomo lakini wapi, kila siku nayaporomosha tu.
Miaka ya mbele watu wakianza kufukua makaburi yangu, Mungu pekee ndo anajua 😀😀😀😀
 
Cheers babe..❤️
 
Umesema wawili na tuzingatie gender balance?
Paula Paul huyu hana maneno mengi.
The Boss huyu pia hana maneno mengi.
Wakitengeneza Couple itakuwa matata.

Ila ninao wengine.
Kasie the platinum K haumkuti kwenye ugomvi na mtu.
Depal kanajitia kichwa moto lakini kana akili.
Shunie napenda msemo wake wa Yesu akutunze.
Sky Eclat hana maneno maneno.
Na wengine wengi.
 

Depal much respect to you kabinti ka fulani...

Hata mimi nakukubali kinyama... na vile wanapenda kukuchokonoa kusudi jeshi la mtu mmoja... Ila yna2 msaliti kipindi cha jino kwa jino haonekani... anakua busy kutafuta khanga ya kujifunga zote hazimtoshi..

😀 😀 😀 Nimekua mtundu kuliko jamaa yake Kidawa... (John)...

True mambo yangu yasikuumize kichwa, niachiege mwenyewe...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…