Teh, yawezekana ila hatakuwa peke yake.Kama sio basi atakuwa binadamu wa ajabu kuwahi kutokea
πππ Achana na simiss mzee anatunga story sana huyu.[emoji3][emoji3][emoji3] mzee Super Villain endelea kuburudika na newcomer ili stress za Corona uzisahau kidogo. Jamaa simiss huwa siku zote ni mkweli
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Hii ni stuns tu simiss amecreate wala usijisumbue mzee.
Jamani ahsante sana
Dada Mkubwa siku hizi umekuwa mzee wa like,Naona sana unavyosambaza upendo kwa michango inayo kuvutia, Mtu akiniuliza HS wa JF ni mtu gani naweza kumuelezea vizuri sana jinsi ulivyo kupitia michango hadi mambo unayopenda humu.
Sijawahi kuona umetoa like kitu negative, siku moja nipo Celebrities naona Like zako katikati ya uzi. Nikarudia kusoma hiyo Comment vizuri nijue kwa nini Dada yangu kalike.
Siku moja nilishida simu humu Jamii forum,lilitolewa shindano lakuandika "Mahusiano ya China na Africa yanamchango gani katika maisha yetu", swali lilitaka kufanana na hilo. Niliandika zangu uongo na ukweli pale nikawa miongoni mwa washindi watano.
Sasa basi shida ikawa niko mwanza huu mzigo naupataje, Na walitaka mwenye ID personally aifwate, Nikamtumia mdogo wangu mmoja alikuwa chuo Ardhi, nikamwambia ukiulizwa member gani unawakubali waambie Heaven Sent MMU na Pasco siasani, pasco alikuwa na magazeti yanayovutia wakati huo Jf .Alivyofika Jf office aliambiwa alog in, baada ya hapo wakamuuliza maswali hayo hayo niliyo-guess, ila Heaven sent ilimchanga kidogo alitaja sijui Heaven nini anajua yeye. Ila kiukweli Big sissy ulikuwa mchango mkubwa hapa JF.
Kuna siku kuna nyimbo ilikuwa inatafutwa ukamtaja msanii kuwa ni V2 sijawahi msahau maana nyimbo yake nilikuwa naisikia sana wakati nakua, V2 ameshakuwa mtu mzima sana now ukimuona hauwezi kujua kama ndio yule mwenye umbo la umiss , nilimtafuta insta nikampata anaitwa "Thitu kariba" ila maisha yake ya bata hajaacha(kupenda maji) muda mwingi yuko swimming pool au ufukweni na watoto wake.
Mwisho, Huwa naona wakiwagusa admire zako wakina Nancy, Kaylyn unawashushua na Magazeti huwa nakufatilia kimya kimya, ni hayo tu sista angu nipo huku tangu 2011/2012 huwa naishia kusoma comment tu, ni mara chache sana nimemfata mtu PM nakumuelezea jinsi navyo mkubali,ila kwako niliona kwa hizi nondo za dada yangu hata siwezi kaa kimya. You are Appreciated HS
Sijasoma yote ila kwa vile nimehisi unayemsifia ni Heaven Sent imebidi nikupe like, she is indeed heaven sent.
Malizia bana,unajua nimejitutumua kuandika gazeti mdogo wangu maana mimi mzee wa maneneo mawili. Wewe magazeti yako huwa nasoma ujue.
Kiukweli sista angu kabarikiwa siku hizi kaacha kuhubiri ,ilikuwa kawaida kuona gazeti na vifungu vya biblia alafu kasoma EGM. Alafu siyo mtu wa kuanzisha nyuzi,ana uzi mmoja tu.
Hahaha ena nkamu gwangu, can't wait urudi tena uliendeleze hilo gurudumu mama.
Baby - shem nipe pipi nikutag[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujipendekeza just for fun,, yaan we kila uzi upo, comment ww, ku like ww, unakuwa hukauki humu jf,, hicho nacho ni kipaji ujue,,maana yake sjui ni nini
Asante kwa reply yako nzuri Big sissy,Kuna watu huwa wanafanya vitu ambavyo kwao ni kawaida ila kiukweli vinakuwa baraka kwa wengine mfano ni wewe Dada yangu. Unakuta mtu ume-Dodge chepo(church) unafikiri umeweza unaingia Jf unakutana na misa kwa kusoma michango ya watu unao wahusudu, Nazani iko ivyo kuna watu special mpo kwa ajiri ya kutukumbusha mienendo yetu.Nilikuwa katikati ya tukio moja amazing; some damn mixed feelings. All of a sudden nikaamua kuingia JF afu nikapata notification ya huu ujumbe wako; after reading this; nikaona naelekea ku-shade some tears. Nikatoka fasta
It's such a great feeling and a honor kujua kuna mtu anakufahamu tu kwa kukusoma online; lakini he thinks so highly of you... brod kid this means a lot to me; mnoo yani. Nilikuwa na siku nzuri afu ukaipendezesha zaidi siku yangu; ahsante sanaaaa
Ahhaa hiyo comment niliyolike celebrities hadi ukarudia kuisoma vizuri ni hiyo ipo? Lazima kuna kitu kilikuwa off kidogo kwako ndo maana ukashtuka na like yangu
Kule jukwaa la dini; sijui shetani ananitia uvivu nisimtumikie Mungu; will get back fully
Dada ako nipo kila sector; huo muziki navyouhusudu sasa, ndo maana nawakumbuka hata kina V2. Anyway; JF imekuwa part ya maisha yangu; pamoja na kukaa kwangu kimya; hakuna skku ambayo siingii JF kabisa; naingiaga na kupita kimya kimya. Ila najipanga nirudi bana; magazeti yamenimiss kwa kweli. Thanks loads mdogo angu
Sent using Jamii Forums mobile app