Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Nilikuwa katikati ya tukio moja amazing; some damn mixed feelings. All of a sudden nikaamua kuingia JF afu nikapata notification ya huu ujumbe wako; after reading this; nikaona naelekea ku-shade some tears. Nikatoka fasta

It's such a great feeling and a honor kujua kuna mtu anakufahamu tu kwa kukusoma online; lakini he thinks so highly of you... brod kid this means a lot to me; mnoo yani. Nilikuwa na siku nzuri afu ukaipendezesha zaidi siku yangu; ahsante sanaaaa

Ahhaa hiyo comment niliyolike celebrities hadi ukarudia kuisoma vizuri ni hiyo ipo? Lazima kuna kitu kilikuwa off kidogo kwako ndo maana ukashtuka na like yangu

Kule jukwaa la dini; sijui shetani ananitia uvivu nisimtumikie Mungu; will get back fully

Dada ako nipo kila sector; huo muziki navyouhusudu sasa, ndo maana nawakumbuka hata kina V2. Anyway; JF imekuwa part ya maisha yangu; pamoja na kukaa kwangu kimya; hakuna skku ambayo siingii JF kabisa; naingiaga na kupita kimya kimya. Ila najipanga nirudi bana; magazeti yamenimiss kwa kweli. Thanks loads mdogo angu

Dada Mkubwa siku hizi umekuwa mzee wa like,Naona sana unavyosambaza upendo kwa michango inayo kuvutia, Mtu akiniuliza HS wa JF ni mtu gani naweza kumuelezea vizuri sana jinsi ulivyo kupitia michango hadi mambo unayopenda humu.
Sijawahi kuona umetoa like kitu negative, siku moja nipo Celebrities naona Like zako katikati ya uzi. Nikarudia kusoma hiyo Comment vizuri nijue kwa nini Dada yangu kalike.
Siku moja nilishida simu humu Jamii forum,lilitolewa shindano lakuandika "Mahusiano ya China na Africa yanamchango gani katika maisha yetu", swali lilitaka kufanana na hilo. Niliandika zangu uongo na ukweli pale nikawa miongoni mwa washindi watano.
Sasa basi shida ikawa niko mwanza huu mzigo naupataje, Na walitaka mwenye ID personally aifwate, Nikamtumia mdogo wangu mmoja alikuwa chuo Ardhi, nikamwambia ukiulizwa member gani unawakubali waambie Heaven Sent MMU na Pasco siasani, pasco alikuwa na magazeti yanayovutia wakati huo Jf .Alivyofika Jf office aliambiwa alog in, baada ya hapo wakamuuliza maswali hayo hayo niliyo-guess, ila Heaven sent ilimchanga kidogo alitaja sijui Heaven nini anajua yeye. Ila kiukweli Big sissy ulikuwa mchango mkubwa hapa JF.
Kuna siku kuna nyimbo ilikuwa inatafutwa ukamtaja msanii kuwa ni V2 sijawahi msahau maana nyimbo yake nilikuwa naisikia sana wakati nakua, V2 ameshakuwa mtu mzima sana now ukimuona hauwezi kujua kama ndio yule mwenye umbo la umiss , nilimtafuta insta nikampata anaitwa "Thitu kariba" ila maisha yake ya bata hajaacha(kupenda maji) muda mwingi yuko swimming pool au ufukweni na watoto wake.
Mwisho, Huwa naona wakiwagusa admire zako wakina Nancy, Kaylyn unawashushua na Magazeti huwa nakufatilia kimya kimya, ni hayo tu sista angu nipo huku tangu 2011/2012 huwa naishia kusoma comment tu, ni mara chache sana nimemfata mtu PM nakumuelezea jinsi navyo mkubali,ila kwako niliona kwa hizi nondo za dada yangu hata siwezi kaa kimya. You are Appreciated HS



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hadi na EGM unajua mweeeh
Malizia bana,unajua nimejitutumua kuandika gazeti mdogo wangu maana mimi mzee wa maneneo mawili. Wewe magazeti yako huwa nasoma ujue.
Kiukweli sista angu kabarikiwa siku hizi kaacha kuhubiri ,ilikuwa kawaida kuona gazeti na vifungu vya biblia alafu kasoma EGM. Alafu siyo mtu wa kuanzisha nyuzi,ana uzi mmoja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa katikati ya tukio moja amazing; some damn mixed feelings. All of a sudden nikaamua kuingia JF afu nikapata notification ya huu ujumbe wako; after reading this; nikaona naelekea ku-shade some tears. Nikatoka fasta

It's such a great feeling and a honor kujua kuna mtu anakufahamu tu kwa kukusoma online; lakini he thinks so highly of you... brod kid this means a lot to me; mnoo yani. Nilikuwa na siku nzuri afu ukaipendezesha zaidi siku yangu; ahsante sanaaaa

Ahhaa hiyo comment niliyolike celebrities hadi ukarudia kuisoma vizuri ni hiyo ipo? Lazima kuna kitu kilikuwa off kidogo kwako ndo maana ukashtuka na like yangu

Kule jukwaa la dini; sijui shetani ananitia uvivu nisimtumikie Mungu; will get back fully

Dada ako nipo kila sector; huo muziki navyouhusudu sasa, ndo maana nawakumbuka hata kina V2. Anyway; JF imekuwa part ya maisha yangu; pamoja na kukaa kwangu kimya; hakuna skku ambayo siingii JF kabisa; naingiaga na kupita kimya kimya. Ila najipanga nirudi bana; magazeti yamenimiss kwa kweli. Thanks loads mdogo angu





Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa reply yako nzuri Big sissy,Kuna watu huwa wanafanya vitu ambavyo kwao ni kawaida ila kiukweli vinakuwa baraka kwa wengine mfano ni wewe Dada yangu. Unakuta mtu ume-Dodge chepo(church) unafikiri umeweza unaingia Jf unakutana na misa kwa kusoma michango ya watu unao wahusudu, Nazani iko ivyo kuna watu special mpo kwa ajiri ya kutukumbusha mienendo yetu.
Dada yangu huko celebrity timu zimekuwa dhaifu siyo kama zamani ambayo watu walikuwa wanatoana mijasho, so sishangai wewe kugeuka msomaji ni kawaida kuaacha madogo nao wajimwaye mwaye, huwa napita siunajua umbeya kidogo ni sunna.
Comments nyingi ambazo huwa nageuza shingo kujua kwa nini Dada angu kalike huwa hasa ni zile uzi watu wanabishana bila strong argument,so huwa zinatokea comment chache ambazo wanakuwa wanaweza kuelezea ukweli, sasa sisi wengine wazee wa ku-scroll ukikutana na like ya idol wako lazima usome.
Kiukweli nipo jukwaa la Dini lakini sielewi kinacho endelea sana kule, nafikiri ni special sana kwa watu wa Theology sababu ya mabishano (may be ndio maana liko private), Maana kumegeuka sehemu ya mabishano so ukiwa mtu unaejua historia ya dini unaweza kwenda sawa na watu wa upande wa pili na wale atheist.
Huwa nikisikia ile nyimbo ya keyshia cole yakuitwa Heaven sent huwa ghafla nakukumbuka siunajua nyimbo yenyewe ilivyo tamu. Umemisika big sissy

Ndaga.
 
Back
Top Bottom