Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Mkuu,wawili ni wachache mno

Nafasi ya kwanza inaenda kwa my all time crush tangu najiunga JF,namuona yeye tu japo simfahamu lakini napicture muonekano wake....popote ulipo kama utapita hapa jua nakukubali sana
chaliifrancisco na sis Khantwe najua mnajua nani namaanisha

Wa pili ni kina Depal Khantwe Carleen Saint Anne Hawachi Zoë mahondaw Shadeeya Sky Eclat karma sijui kabadili ID? Shunie Sakayo yna2 na wengine wachache waliobaki nimesahau IDs zao
Ni mume wa mtu lakini. Nimefurahi kufahamu kuwa hunikubali hata kati ya wengi.
 
Dadeeq mpaka hapa sijatajwa ila kuna waliotajwa mara hazihesabiki halafu kuna wehu wa imani anakwambia binadamu wote sawa!

Anyways wale wa likes na vicheko nawakubali nyote na muumba awaepushe na corona. Msisahau kuvaa barakoa ila ukishinda nayo na unanuka mdomo, utavuna ulichopanda.
ili utajwe inabidi uwe mzee wa ku
[emoji117] like
[emoji117] kucomment
[emoji117] quote
[emoji117] kwenda DM
[emoji117] Chawa





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awwww!! [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom