Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Babuu njoo ufuturu futari zote ziko tayari, ya kwenye hoti ponti na kwenye barakoa... Chungu cha kwanza leo...

Chagua utaanza kufuturu futari ipi...!???

Kabla hujaanza kufuturu ntakusanitaizi na asali kisha ntakukausha na ulimi ili ufurahie futari yako bila kuzimia...

Ukishashiba futari zote bado utataka kutagiwa tena...

Mayai yangu bado hayajakauka Babuu, ntakutagi vile unapenda hadi ukinahiii....

Malabuku zakoo bin korona sanitaiza aahahahahahhaaaa

Aaiilaaabyuuuuuu, mwaah!!.
Unajua niko kwa ofisi afu nimechomekea trauza??

Basi ndo ujue umenikomoa leo. Siamki hapa kwa kiti nisije kuumbuka

Huna adabu mara saba sabini na nusu

Khaaaa....!

Pokea lile la kawaida kwanza kwenye lips wakati nikisubiri huyu Corona atoke kwenye boxer
 
Unajua niko kwa ofisi afu nimechomekea trauza??

Basi ndo ujue umenikomoa leo. Siamki hapa kwa kiti nisije kuumbuka

Huna adabu mara saba sabini na nusu

Khaaaa....!

Pokea lile la kawaida kwanza kwenye lips wakati nikisubiri huyu Corona atoke kwenye boxer


Ooh Babuuu usijaliii aahahahahahhaaa

Tulia hapo hapo usiamke, nakuja kukuchukua, ntakufunika na msuli kisha ntakubeba mgongoni na hapo wala hutoaibika.

Nimepika keki ya tende, viazi vitamu, strawberry, kiwi and chocolate chips.

Hapo utashushia na denda la Kasie, ni alkasusu toshaaa.

Kesho aukiamka nakukanda na asali kuondoa uchovu wotee.
 
Back
Top Bottom