Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Nawashukuru Wana jf wenzangu niliwapenda ila uhalisia umeonyesha hamnipendi kila zinapoanzishwa nyuzi Kama huwa sitajwi kamwe as if am nothing.nilijua Niko kwenye familia inayojali hisia kumbe hapana anyway nimewaelewa .

Kumbe mnavyowakatisha tamaa waliochoshwa na maisha huwa hamuigizi ndio nyie halisi mlivyo.

Hamjali hisia za wengine sikutegemea nitatajwa ila nilipitia uzi huu ili nione thamani yangu kwenu unfortunately am worthless!!


Kuanzia Leo nadhani sitatuma post yeyote iwayo mpaka naingia kaburini.

Kwaheri jf kwaherini (I planted my pumpkins on a desert)

Hamtaniona humu milele

Mimi sio attention sicker Ila nilijua kwamba humu Kuna watu wanaojali watu kumbe nop I was wrong

Mungu awe nanyi.

Chaoo

Kama upo serious mkuu, pole sana

Jipende, jithamini na wala usitegemea chochote toka kwa watu. Pia punguza kuukuza umuhimu wako kwenye maisha ya watu. Utaishi kwa amani kiasi
 
Dada Mkubwa siku hizi umekuwa mzee wa like,Naona sana unavyosambaza upendo kwa michango inayo kuvutia, Mtu akiniuliza HS wa JF ni mtu gani naweza kumuelezea vizuri sana jinsi ulivyo kupitia michango hadi mambo unayopenda humu.
Sijawahi kuona umetoa like kitu negative, siku moja nipo Celebrities naona Like zako katikati ya uzi. Nikarudia kusoma hiyo Comment vizuri nijue kwa nini Dada yangu kalike.
Siku moja nilishida simu humu Jamii forum,lilitolewa shindano lakuandika "Mahusiano ya China na Africa yanamchango gani katika maisha yetu", swali lilitaka kufanana na hilo. Niliandika zangu uongo na ukweli pale nikawa miongoni mwa washindi watano.
Sasa basi shida ikawa niko mwanza huu mzigo naupataje, Na walitaka mwenye ID personally aifwate, Nikamtumia mdogo wangu mmoja alikuwa chuo Ardhi, nikamwambia ukiulizwa member gani unawakubali waambie Heaven Sent MMU na Pasco siasani, pasco alikuwa na magazeti yanayovutia wakati huo Jf .Alivyofika Jf office aliambiwa alog in, baada ya hapo wakamuuliza maswali hayo hayo niliyo-guess, ila Heaven sent ilimchanga kidogo alitaja sijui Heaven nini anajua yeye. Ila kiukweli Big sissy ulikuwa mchango mkubwa hapa JF.
Kuna siku kuna nyimbo ilikuwa inatafutwa ukamtaja msanii kuwa ni V2 sijawahi msahau maana nyimbo yake nilikuwa naisikia sana wakati nakua, V2 ameshakuwa mtu mzima sana now ukimuona hauwezi kujua kama ndio yule mwenye umbo la umiss , nilimtafuta insta nikampata anaitwa "Thitu kariba" ila maisha yake ya bata hajaacha(kupenda maji) muda mwingi yuko swimming pool au ufukweni na watoto wake.
Mwisho, Huwa naona wakiwagusa admire zako wakina Nancy, Kaylyn unawashushua na Magazeti huwa nakufatilia kimya kimya, ni hayo tu sista angu nipo huku tangu 2011/2012 huwa naishia kusoma comment tu, ni mara chache sana nimemfata mtu PM nakumuelezea jinsi navyo mkubali,ila kwako niliona kwa hizi nondo za dada yangu hata siwezi kaa kimya. You are Appreciated HS
Sijasoma yote ila kwa vile nimehisi unayemsifia ni Heaven Sent imebidi nikupe like, she is indeed heaven sent.
 
Sijasoma yote ila kwa vile nimehisi unayemsifia ni Heaven Sent imebidi nikupe like, she is indeed heaven sent.
Malizia bana,unajua nimejitutumua kuandika gazeti mdogo wangu maana mimi mzee wa maneneo mawili. Wewe magazeti yako huwa nasoma ujue.
Kiukweli sista angu kabarikiwa siku hizi kaacha kuhubiri ,ilikuwa kawaida kuona gazeti na vifungu vya biblia alafu kasoma EGM. Alafu siyo mtu wa kuanzisha nyuzi,ana uzi mmoja tu.
 
Malizia bana,unajua nimejitutumua kuandika gazeti mdogo wangu maana mimi mzee wa maneneo mawili. Wewe magazeti yako huwa nasoma ujue.
Kiukweli sista angu kabarikiwa siku hizi kaacha kuhubiri ,ilikuwa kawaida kuona gazeti na vifungu vya biblia alafu kasoma EGM. Alafu siyo mtu wa kuanzisha nyuzi,ana uzi mmoja tu.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] kumbe magazeti yangu huwa unasoma, basi usijali mkuu hata hivyo baada ya kulike na kuquote ile comment yako ilibidi niimalizie tu kuisoma.
 
Asante,nimeziona huwa naona kule kwenye uzi wa rikiboy unamwaga like tu, wewe kama mimi tu humu JF siyo watu wa mambo mengi.
Umesema Rickboy nikacheka sana.. Ule uzi nina muda sijausoma. Ngoja leo niutembeee
Tuendelee kutoa like tu kama Kucomment ni Issue basi hata Like Jamani[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee namkubali Sana sweetapple maana ni mmoja ambaye kipindi bado mgeni kwenye id flan hiv nilishawahi kugombana nae kidogo ila tulikuja wekana sawa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] embu acha uvulagizi kwanza.
Mzee nakushauri jiachie katika kipindi hiki cha furaha. Kweli life is not fair, wenzio tunalia na COVD-19 wewe umepata burudiko la moyo na mwili kwa ujumla wake

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom