,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]
Bwana aseme nawe..[emoji28]
ntakutaja mwishon[emoji2955][emoji28][emoji28][emoji28]kumepambazuka
Mwa dunia ama...ntakutaja mwishon[emoji2955]
Patra31SteveMollel
Msimuliaji wa movie bora JF
ha ha ha ha mkuu si kweliSky Eclat
Sijui tu ccm ilimfanyaje..π
Equation x
Mapenzi yalishamnyoosha huyu..π
yna2
Sijawahi kukuona ila naimagine ni kibonge fulani hivi chenye umbo matata..π
Khaaa!![emoji115][emoji115][emoji115]wa stendi
Fujo yumo,mikwara yumo,utembezi yumo,mtu anaeongea mpk mishipa inaonekana..[emoji23]
Rebeca 83
We dada nakuogopa!.. maana ulishawahi nichamba nikachambika[emoji23]
ila mpk mtu akuchokoze ndo yanaamka ya kwenu..[emoji28]
Mama Debora
Mlezi..
ledada
Dada fulani hivi munene lkn cute..[emoji6]
Ukizubaa nakufanya unakuwa mchepuko wangu..[emoji12]
nameless girl
Machepele..[emoji23][emoji125]
ha ha ha haya mambo mkuu hayana mjuzi,yakiamua kukugeuka unaweza kuokota makopoIpo siku utanena kwa lugha tu..π
Ndio kaka niko gym saa hiviMkuu umekula..?