Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Aseh mm hata cijui Kutag mnafanyeje kwn
Kabla ya kuandika jina la mtu unaetaka kumtag unaanza na hii @ then bila kuruka unaandika jina lake mfano
@ kenzy.. hapo mi nimeacha sehemu ili uone so itakuwa like this nisipoacha nafasi KENZY..
 
wa stendi
Fujo yumo,mikwara yumo,utembezi yumo,mtu anaeongea mpk mishipa inaonekana..[emoji23]

Rebeca 83
We dada nakuogopa!.. maana ulishawahi nichamba nikachambika[emoji23]
ila mpk mtu akuchokoze ndo yanaamka ya kwenu..[emoji28]

Mama Debora
Mlezi..

ledada
Dada fulani hivi munene lkn cute..[emoji6]
Ukizubaa nakufanya unakuwa mchepuko wangu..[emoji12]

nameless girl
Machepele..[emoji23][emoji125]
Khaaa!![emoji115][emoji115][emoji115]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom