Muuzaji ananipa mashaka π ,au tumpatie tu ikienda no sadaka tumefanya?Mimi nipo kwa ajili yako, so nakusikiliza kila kitu.
π ngoja tuangalie msimamo wake tumuungishe babeMuuzaji ananipa mashaka π ,au tumpatie tu ikienda no sadaka tumefanya?
π€£Ananipa mashaka na hiyo forehead yake sijui ndio ya kukingia jua la Dar es salaam lisimchome.π ngoja tuangalie msimamo wake tumuungishe babe
Nashauri tumkazie aseme ukweliππ€£Ananipa mashaka na hiyo forehead yake sijui ndio ya kukingia jua la Dar es salaam lisimchome.
Amesahau umeulizia african purse na hajajibu sasa sijui anasubiri niniNashauri tumkazie aseme ukweliπ
Ndio nashangaa hata mimiπAmesahau umeulizia african purse na hajajibu sasa sijui anasubiri nini
Usishangae hata Tote bags hanaπNdio nashangaa hata mimiπ
Ngoja aje atupe maelezoπUsishangae hata Tote bags hanaπ
Biashara unafanya Ila sio rejareja, acha kusumbua watu wa jf[emoji23]Kwani sifanyi biashara kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
Lamomy anawazingua, biashara anafanya Ila sio hiyo na sio ya vijoraHivi babe unauza zile African purse?
π€£π€£π€£π€£ Wewe na manzi wako naona hamtaki tufanye biashara mshaanza majunguUsishangae hata Tote bags hanaπ
Una nini? πππBiashara unafanya Ila sio rejareja, acha kusumbua watu wa jf[emoji23]
ππππ Ushaniharibia biashara haya twende tukalaleLamomy anawazingua, biashara anafanya Ila sio hiyo na sio ya vijora
Mheshimu nyonga mkalia ini tafadhali "manzi" π€£π€£π€£π€£π€£ Wewe na manzi wako naona hamtaki tufanye biashara mshaanza majungu
Mkalaleπππππππ Ushaniharibia biashara haya twende tukalale