Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23]Unatoka nitoke nje ya key dada kungwi Joannah anione msungo? [emoji23][emoji23][emoji23]
Cute wife si umeachana naye? Bado unamtaja me nasikia wivu 😜Ukweli nilikua sikufahamu, humu mm naingia nafata nyuma alipo lamomy/cute wife. Kwa hiyo post nyingi hata sizijui
sawaAcha ujinga dogo, ww ndio una dharau umemtaka hadi ms eyes
[emoji23][emoji23] lamomy ishazoeleka, hiyo ya cute iache tuCute wife si umeachana naye? Bado unamtaja me nasikia wivu [emoji12]
Kila kitu kina malipo yake, mkifanya ujinga mtalipwa ujingasawa
Umekunywa vitu gani leo?[emoji23][emoji23] lamomy ishazoeleka, hiyo ya cute iache tu
wewe unabizoea vibaya,Kila kitu kina malipo yake, mkifanya ujinga mtalipwa ujinga
Mbona umemkalia kooni mshamba?Kila kitu kina malipo yake, mkifanya ujinga mtalipwa ujinga
sio kweliHivi muda wa kuanzisha vi crew wanatoa wapi?
Tafuta kazi ya kufanya,uchawi Huwa unaanzaga hivi hivi kisa roho mbayaLucas mwashambwa kubwa Zima lkn Hana mpango. Utadhani mwijaku Fulani lkn huyu amefulia mbaya. anakwenda bar Hana hata Mia anasubiri anunuliwe safari ya Moto ndio aanze kumsifia aliyemnunulia pombe.
ChoiceVariable msomi aliyemaliza form six shule ya kata, muda mwingi utamkuta kwenye ofisi za CCM anacheza draft na wazee wa CCM.
Bongotunacheza anapenda Sana pombe za kienyeji na wadada wanaouza pombe vilabuni, lkn pia anapenda Sana kukaa vijiweni na wastaafu wakiongelea siasa za CCM na kuona CCM Wana bonge la Sera.
Mohito[emoji23]Umekunywa vitu gani leo?
Ushaanza kunifananisha na cute? [emoji15][emoji15]
Achana naye shem wanguwewe unabizoea vibaya,
nimefanya ujinga gani?
uwe unathibitisha sio unaongea tuKabisa, hasa hasa huyo dogo na crew yake.
Iache haikupendi 🥹Mohito[emoji23]
Leo mbona unatia sana huruma??wewe unabizoea vibaya,
nimefanya ujinga gani?
haya banaAchana naye shem wangu
Kaka ako sijui ana shida gani?
Ndio wachaga mlivyo hivi? 🥹🥹🥹
Ngoja nimuwekee sawa kidogo, hawa mm huwafanyia mentoringMbona umemkalia kooni mshamba?
Afu huyo mtu powa sana, muache bana
Me sioni kosa lake, niachie shemeji yangu
Kantry acha banaLeo mbona unatia sana huruma??
Alafu dogo acha kujitutumua, mm nikuzoee wewe ili iwe nn?
Tulivyo vipi?Achana naye shem wangu
Kaka ako sijui ana shida gani?
Ndio wachaga mlivyo hivi? 🥹🥹🥹
Kuthibitisha nn?uwe unathibitisha sio unaongea tu