Acha bana sio vizuriNgoja nimuwekee sawa kidogo, hawa mm huwafanyia mentoring
Sio ndugu yanguKantry acha bana
Nini iki unafanya?
Nyie si ndugu? Hapa tunataniana wenzio ndiomana ms eyes hajayachukulia serious
Jidanganye. Wengine wanasoma nyakati kabla hujanyanyua kitu hicho,utavutwa filimbi za masai ubaki unalia tuMimi sio mgomvi hata kidogo. Siwezi kuongea sana maana nitapandwa na hasira nikutangwe na kitu chochote ufeπ
Hata mm natania tu, kwani anachukulia serious?Acha bana sio vizuri
Mshamba hanaga shida na mtu
Afu wenzio hawako serious wanataniana
Mnapenda ugomvi hata mchaga mwenzenu nawashangaa πππTulivyo vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Si ndio hapo emu waje watuletee umbea huo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata najua sasa waliko?? Wamepotea mazima.Wale watu wako kwenye list wapo wapi?
Huoni amekasirika?Hata mm natania tu, kwani anachukulia serious?
Tulia basi[emoji23]Mnapenda ugomvi hata mchaga mwenzenu nawashangaa [emoji23][emoji23][emoji23]
π Leo unamkana?Sio ndugu yangu
[emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nn hata.Wala simpanikishi, hiyo tabia wanayo kweli. Ww mwenyewe waliwahi kukuletea hizo pigo sema wanakuogopaga
[emoji23][emoji23][emoji23] weekend hii hasira za nn??Huoni amekasirika?
Wewe hujui kumsoma mtu aliyekasirika kwa maandishi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi nawaachia hapa kuna wangese watakuja wataanza kunireport me, kwaherini [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
JF utamtwangaje mtu! Si burudani tuu! Au kuna wengine chuki zao wanakuwa wanamaanisha kweliMimi sio mgomvi hata kidogo. Siwezi kuongea sana maana nitapandwa na hasira nikutangwe na kitu chochote ufeπ
Crew yake imemuharibu[emoji23][emoji12] Leo unamkana?
Si wa chuga mwenzio na kabila moja nyie?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahCute wife si umeachana naye? Bado unamtaja me nasikia wivu [emoji12]
Anaogopa kukuvunjia heshima bro ake[emoji23][emoji23][emoji23] weekend hii hasira za nn??
Dogo ana hasira za karibu sana[emoji23]
Ukikaa nyumba ya vioo, usianzishe ugomvi wa mawe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata najua sasa waliko?? Wamepotea mazima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikiuza hii I'd, unipe yako inginee.Umekunywa vitu gani leo?
Ushaanza kunifananisha na cute? [emoji15][emoji15]