Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Mimi sio mgomvi hata kidogo. Siwezi kuongea sana maana nitapandwa na hasira nikutangwe na kitu chochote ufeπŸ˜‚
Jidanganye. Wengine wanasoma nyakati kabla hujanyanyua kitu hicho,utavutwa filimbi za masai ubaki unalia tu
 
Huu uzi nawaachia hapa kuna wangese watakuja wataanza kunireport me, kwaherini [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sio mgomvi hata kidogo. Siwezi kuongea sana maana nitapandwa na hasira nikutangwe na kitu chochote ufeπŸ˜‚
JF utamtwangaje mtu! Si burudani tuu! Au kuna wengine chuki zao wanakuwa wanamaanisha kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23] weekend hii hasira za nn??

Dogo ana hasira za karibu sana[emoji23]
Anaogopa kukuvunjia heshima bro ake
Huoni nimemwambia acha kakuacha
Acha kunigombanisha na shemeji yangu, nitakosa mtetezi siku ukizingua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…