Ushafika msaga sumu πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huoni amekasirika?
Wewe hujui kumsoma mtu aliyekasirika kwa maandishi?
Ww si walitaka wakukimbize humu? Lamomy anawaonea huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui nacheka nn hata.
πππ kumekucha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikiuza hii I'd, unipe yako inginee.
Achangamke kidogo, aache unyonge [emoji23]Anaogopa kukuvunjia heshima bro ake
Huoni nimemwambia acha kakuacha
Acha kunigombanisha na shemeji yangu, nitakosa mtetezi siku ukizingua [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikaa nyumba ya vioo, usianzishe ugomvi wa mawe[emoji23]
Mshamba sina tatizo naye na ndiye aliyeniita kwenye huu uzi.Ww si walitaka wakukimbize humu? Lamomy anawaonea huruma[emoji23]
Wanikimbizeee? Mello na modes wake wameshindwa ndo waweze wao? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ww si walitaka wakukimbize humu? Lamomy anawaonea huruma[emoji23]
Ilee ya zamanii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekucha
Si ulilala wewe? Haya id ipi nikupe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu hamjui kusamehee??Mshamba sina tatizo naye na ndiye aliyeniita kwenye huu uzi.
Me nina bifu na Mr mitraako mabakuli na shogaake Figo part 2 [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] una ngozi ngumu sana, jf yote tulikua tunakuchukia tukaweka hadi kupiga kura uondolewe. Mm nikasimamia zoezi, sema uliondolewa kweli, sijui ulirudi vipi tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Crew iliundwa ili kunifurusha, nkawaambia km mapapa wao wameshindwa, ndo wao vidagaa wataweza? Kwan sio size angu ndo maana waliishia kujiliza kwa modes, na uzi ukafungwa.
Wao wamepoteana mazima, mie mtu mwenye JF angu naswampaaa km kalambwandaaa.
Mshamba ni mpole sana hata ugomvi hawezi kabisa!! Pamoja na kukaa Arusha lkn ni kijana mstaarabu.Achangamke kidogo, aache unyonge [emoji23]
Sema namkubali aliniambia anasoma mbeya
Mitraako ni nani? [emoji23]Mshamba sina tatizo naye na ndiye aliyeniita kwenye huu uzi.
Me nina bifu na Mr mitraako mabakuli na shogaake Figo part 2 [emoji23][emoji23][emoji23]
πππ Afu wote wamekimbia na babu yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu hamjui kusamehee??
Mjanja huyo alikua anakutaka[emoji23]Mshamba ni mpole sana hata ugomvi hawezi kabisa!! Pamoja na kukaa Arusha lkn ni kijana mstaarabu.
Hajawahi kunikosea since day one kwenye uzi wangu hakua na makuu
Ila kina chiriku mule zilikuwa zinaongea hatareee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kantry niache πππMitraako ni nani? [emoji23]
We endesha bodaboda tuweke mshikaki,mbele Manka Mimi nyuma ya Manka Carina yote hiyo ya Nini bbyπ π ?Mie sio mtu wa wanawake, hilo nina uhakika 100%, ingekuwa hivyo ningeshajaza yutong kadhaa, ila hata carina sijajazaπ
Bado hujasema, yani mpaka useme πHalf american jirani yangu ila hana nia nzuri na me kabisaaa ππ
Babu ni nani?[emoji23][emoji23][emoji23] Afu wote wamekimbia na babu yao
Kuna siku member mmoja alianzisha selfika part 2 zikamiminika foto humo aloooo
Ghafla uzi ukaliwa kichwa