Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Dada naye ss hivi kawa mmbea tushamuharibu 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa we hutaki kupitwaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada naye ss hivi kawa mmbea tushamuharibu 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa we hutaki kupitwaa.
Ngoja nirahisishe ni national antemHuyo anaitwa babu migambuti scammer moja hivi la kihaya lilitaka kumuingiza chaka cocastic [emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa balaa mods wakapita nayo shwaaa✈️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshee bhanaa.
Kinywaji unachotumia leo kiache hakikupendi 😂😂😂Ngoja nirahisishe ni national antem
Ila watu wanaongopewa vipi kizembe hivyo?
😂😂😂Kumbe ni national antem? [emoji23]
Kumbe!Asante sana shemeji umenifungua macho napendaga we unaenda tu straight 😆😆😆😆Wala usipate shida nishamjua, ni yule national antem.
Tapeli sana[emoji23]
Ukiona mtu anakujaza sana kuwa anakupa ajira mara ana makampuni kuwa makini. Sema Hawa huwa hawaskii mpaka liwakute jambo
Amewadhalilisha sana wadada humu, so sad
Anazingua unawezaje kila mtu kumuahidi ajira?Kinywaji unachotumia leo kiache hakikupendi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kipindi niliona penzi la cocastic na huyo Mzee kumbe ni scammer,,mi sipatanagi nae kabisa maana huwa namwambia live Hana jambo 😁Huyo anaitwa babu migambuti scammer moja hivi la kihaya lilitaka kumuingiza chaka cocastic 😂😂😂
Lamomy ndio ameniambia hapa, sasa nashangaa analeta konakona[emoji23]Kumbe!Asante sana shemeji umenifungua macho napendaga we unaenda tu straight [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
🤣🤣🤣Nilikuwa Nakuzoom tu,tena nakumbuka nilikuonya Angalia huyo ni mdananda tu utaenda huko USB ukose nauli ya kurudia unakumbuka lakini 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa we hutaki kupitwaa.
😂😂😂 Huyo huyo ndio anataka kunifanya nionekane mkoleni sijatuliaNaomba utulivu Niko glass ya pili nakufuatilia kwa makini 😅
Hapana,alinizoe kiaina tu sio deep Sijawahi hata kujua ni mdanandaLamomy ndio ameniambia hapa, sasa nashangaa analeta konakona[emoji23]
Ww hujawahi kuingia kwenye 18 za huyo jamaa?
Jitulizee....halafu unamnywesha Nini shemeji yangu mbona Hana Siri tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Huyo huyo ndio anataka kunifanya nionekane mkoleni sijatulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila uduguu Una nn weyee? Taratibuu bas lolHuyo anaitwa babu migambuti scammer moja hivi la kihaya lilitaka kumuingiza chaka cocastic [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.Acha tamaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kaharibika wallah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada naye ss hivi kawa mmbea tushamuharibu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kupimwa tena🤣🤣🤣🤣ila anachokunywa Wizzy Leo🙌🙌🙌😂😂😂 Sasa kuna mtu atapona wakianza kupima? Waanze na Mwijaku na Juma lokole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann??Ilikuwa balaa mods wakapita nayo shwaaa[emoji3575]
Watakutana uko uko wizarani kwa babu migambuti atajua yeye awapange vipi na course zao walizosomea 😂😂😂Anazingua unawezaje kila mtu kumuahidi ajira?
Coca kasoma bcom sijui, mshamba kasoma computer science, sijui nani kasoma accounts, mwingine kasoma socialogy, mwingine BBA, mwingine pspa, wote hao unawaahidi ajira umekua psrs?