Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Babu ni nani?

Leo weekend muda upo wa kutosha, usiwe unaweka codes wengine hatuwajui watu wengi huku[emoji23]
Mwenye kampuni zake daslamu
Coca alitaka kupewa kazi, sasa nimemchachua sponsor wake na kibarua kikaota nyasi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ilee ya zamanii, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu kanikalia kooni, anataka hii I'd.
Yaan siku nikiwa na ugwadu wa maokotoo namuachiaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
🀣🀣🀣 unauza id?
Utaachika tushindwe kukutetea tena kwa mmeo?

Ile id ina kumbukumbu nzuri za hekaheka zangu na shemejio labda nikupe hii
Ila ukitapeli vichambo vyote napewa me dada ako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaa,
Sahivi haziruhusiwi zile mada, ila zina jukwaa lake.
 
Mwenye kampuni zake daslamu
Coca alitaka kupewa kazi, sasa nimemchachua sponsor wake na kibarua kikaota nyasi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kampuni km kampuni,
Mwenzio had kitengo nilipewa, wee ukaharibu mchongo,
Nabaki kulia lia na ujobless.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unauza id?
Utaachika tushindwe kukutetea tena kwa mmeo?

Ile id ina kumbukumbu nzuri za hekaheka zangu na shemejio labda nikupe hii
Ila ukitapeli vichambo vyote napewa me dada ako [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uduguu mtu anataka I'd, niache maokotoo, nikiwa na uraru na faranga nampaa tyuuh.
 
Ni yule anakaaga USB nini?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nini kutuchosha na code bwana
Wala usipate shida nishamjua, ni yule national antem.

Tapeli sana[emoji23]

Ukiona mtu anakujaza sana kuwa anakupa ajira mara ana makampuni kuwa makini. Sema Hawa huwa hawaskii mpaka liwakute jambo

Amewadhalilisha sana wadada humu, so sad
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…