Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Wala usipate shida nishamjua, ni yule national antem.

Tapeli sana[emoji23]

Ukiona mtu anakujaza sana kuwa anakupa ajira mara ana makampuni kuwa makini. Sema Hawa huwa hawaskii mpaka liwakute jambo

Amewadhalilisha sana wadada humu, so sad
Kumbe!Asante sana shemeji umenifungua macho napendaga we unaenda tu straight πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kinywaji unachotumia leo kiache hakikupendi [emoji23][emoji23][emoji23]
Anazingua unawezaje kila mtu kumuahidi ajira?

Coca kasoma bcom sijui, mshamba kasoma computer science, sijui nani kasoma accounts, mwingine kasoma socialogy, mwingine BBA, mwingine pspa, wote hao unawaahidi ajira umekua psrs?
 
Huyo anaitwa babu migambuti scammer moja hivi la kihaya lilitaka kumuingiza chaka cocastic πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna kipindi niliona penzi la cocastic na huyo Mzee kumbe ni scammer,,mi sipatanagi nae kabisa maana huwa namwambia live Hana jambo 😁
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sasa kuna mtu atapona wakianza kupima? Waanze na Mwijaku na Juma lokole
Kupimwa tena🀣🀣🀣🀣ila anachokunywa Wizzy LeoπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Anazingua unawezaje kila mtu kumuahidi ajira?

Coca kasoma bcom sijui, mshamba kasoma computer science, sijui nani kasoma accounts, mwingine kasoma socialogy, mwingine BBA, mwingine pspa, wote hao unawaahidi ajira umekua psrs?
Watakutana uko uko wizarani kwa babu migambuti atajua yeye awapange vipi na course zao walizosomea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona wa BAF umemsahau?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…