Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Na antonnia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizi hekaheka haziwezi
Tunazimudu me na coca tyuu humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na antonnia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizi hekaheka haziwezi
Tunazimudu me na coca tyuu humu
[emoji23][emoji23][emoji23]Weee hapanaa!
Nilikua nakaa kimyaa naonekana mjinga watu wakawa wananisema hadi wananitagi kabisa kwa kusema nawaogopa!!
Nilivokua nakaa kimya ndio walikua wanafurahiii wanapendaaa nilipoanza kujibu naonekana bado sijui napenda Makolokolo gani nyieee jf hii [emoji119][emoji119][emoji119][emoji1783]
Aah wapi hakuna hiyoWa huku wengi walokole[emoji23]
Kweli kabisa, bora anayeongea anakua anajulikana yupo hivi au vileYanii jf hii [emoji119]
Wee ona tu watu hawaongei humu ukajua ni malaika!
Humu tumejaa mbwa mwitu tuliojivika ngozi za kondoo!
Tulimkausha babu hana hamu 😂😂😂Na antonnia[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Kama kipi umewahi kuniambia?kabisaa!! Ila Kantry kashaniwezea hata nijitahidi vipi kuficha nitasema tu! [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vitu namwambia alafu baadae najuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Aliniambiaaa nikamwambia arelaxx asikununiee [emoji1783]!
Anachezea mamlaka yule!hajui shemeji ana mandate ya kumfunga bila file Kwa masaa 72 😂😂😂😂Nilicheka ulivyomwambia yule jamaa eti, “ Ushawahi kufungwa bila file la kesi?” 😂😂😂
Umejua kumkamata kwako hafurukuti!Nilimuwashia moto 😂😂😂
Khaaaaa!! Unaanza kuyatoa ya chumbani 😂😂😂Unajua siku ile ilibidi niwe mpole sana
Aliniambia unachotafuta kwa antonnia nn, amekukosea wapi au umetumwa, nikaambiwa naomba huu ndio uwe mwisho wetu siwezi kuwa na mtu wa hivi anazingua rafiki zangu[emoji23]
alicharuka sio kidogo. But yalishaisha na alinielewa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilimuwashia moto [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuaminia, nashangaa kusikia ni muoga[emoji23]Shemeji Mimi kama wanamgambo wa hamas we si unaona ninavyowafurusha wavamizi wa Jimbo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unarudia tena?
Ss hivi sikwambii kitu chochote
Ila unajiamini khaaaa!! 😂😂😂😂Anachezea mamlaka yule!hajui shemeji ana mandate ya kumfunga bila file Kwa masaa 72 😂😂😂😂
Ww ndio umekuja kumpa nguvu antonnia[emoji23]Tulimkausha babu hana hamu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ile siku sitaki ijirudie. antonnia umepita bila kupingwa[emoji23]Khaaaaa!! Unaanza kuyatoa ya chumbani [emoji23][emoji23][emoji23]
Babu alianza kumtoa mchezoni 😂😂😂Ww ndio umekuja kumpa nguvu antonnia[emoji23]
Alikua mkali sana, hataki ujinga kwa udugu wake[emoji23]Umejua kumkamata kwako hafurukuti!
Na ugomvi ameacha kabisa sikuhizi [emoji1783]!
Family first 😂😂😂Ile siku sitaki ijirudie. antonnia umepita bila kupingwa[emoji23]
Ww ndio umekuja kumpa nguvu antonnia[emoji23]