Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Effects kwa walengwa ,Nayo point .
Unajua mnaweza kurahisisha tu eti yashapita.

Kumbuka watu wanaotema nyongo walikuwa kimya...

HS alikuwa kimya, na hizo vuguvugu zinazidi kuendelea...
Dada na heshima zake anazidi kuchafuliwa atakaaje kimya?


Mshawahi kuwaza wengine Wana mahusiano humu..
Mtu wako anakuja kuona fedheha hizi
Na mtu umekaa kimya tu

Nyie acheni kabisa[emoji23]
 
Nakuelewa dada angu,binafsi nishasamehe na kusahau.
 
Nacheka kama mazuri
Fikiria mtu anaingia anakutana na haya mabalaa
Si unavunjwa miguu unajiona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watu wanachukulia rahisi sana[emoji23]
Mambo ya parapanda yote hawayajui ..
Imagine huna hili wala lile.. kumbe watu wanakuhesabia siku za kuishi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Prov 6:19
Tumesoma leo church..
Shahidi wa uongo anaweza leta balaa kubwa.
 
It shall never be my portion.....
 
Mdudu wa bunju huyu kama sio shoga basi kuna kitu kinampwita kwenye matrakooo. Hawezi kuwa kamili lazima watu watakua wanampumulia kisogoni. Dogo jikaze unye zile ulizomwagiwa kwa ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Joni mwoga, akishambuliwa anazama pm kunililia...kumbe hajui huwa analipwa alichokisahau.

Wewe na cocastic najua huwa ni ngumu kuumia tena mtu akiku attack mnacheka tu

Mwambie asome asiunge mkono
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii niumie kwa JF kwelii? Naumia km baba tamuu akininyimaa mkunyengee.
Yaan akiumwaa nakua mpoleee, namuambia " bas tufanye pole polee"

Woiiiih
 
Duuuhhhhhh!! .
 
Hahahaaa.. nakutania tu mkuuu sijamaanisha hata!!

cocastic hivi 5imba mnacheza sangapi leo???
Simba hachezi leo, leo nilikua namuangalia crush wangu Shalulile wa sundowns, afu katupia bao kaliiii.

Mfupi wa uno kuuteka mtima wa coca. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…