Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kuna wanaofurahiaHaya mambo kwanini yasipotezewe. Si yalishapita lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanaofurahiaHaya mambo kwanini yasipotezewe. Si yalishapita lakini?
Haijaisha mpaka iisheHaya mambo kwanini yasipotezewe. Si yalishapita lakini?
Mambo yalishapita lakini bado yanaongelewa🚮Kuna wanaofurahia
Effects kwa walengwa ,Nayo point .Haijaisha mpaka iishe
Tulia.
Huwezi jua effects za haya mambo kwa walengwa.
Unajua mnaweza kurahisisha tu eti yashapita.Effects kwa walengwa ,Nayo point .
Ni Kwa sababu haupo kwenye msala.Mambo yalishapita lakini bado yanaongelewa[emoji706]
Nope; I kept quiet cos nilihisi labda watu wanaunga dots tu. Mtu akisema nimesikia HS anatoka na fulani; wala sitoshughulika. Ila mtu akisema yeye anatoka na HS; lazima nitafuatilia. Tukipata evidence, litakuwa limeisha kwetu automatically .Haya mambo kwanini yasipotezewe. Si yalishapita lakini?
Hajui yaliyokukumba ndo maana[emoji23]Nope; I kept quiet cos nilihisi labda watu wanaunga dots tu. Mtu akisema nimesikia HS anatoka na fulani; wala sitoshughulika. Ila mtu akisema yeye anatoka na HS; lazima nitafuatilia. Tukipata evidence, litakuwa limeisha kwetu automatically .
Nacheka kama mazuriHajui yaliyokukumba ndo maana[emoji23]
Nakuelewa dada angu,binafsi nishasamehe na kusahau.Unajua mnaweza kurahisisha tu eti yashapita.
Kumbuka watu wanaotema nyongo walikuwa kimya...
HS alikuwa kimya, na hizo vuguvugu zinazidi kuendelea...
Dada na heshima zake anazidi kuchafuliwa atakaaje kimya?
Mshawahi kuwaza wengine Wana mahusiano humu..
Mtu wako anakuja kuona fedheha hizi
Na mtu umekaa kimya tu
Nyie acheni kabisa[emoji23]
HahahahaDuuh wakati wengine JF tunaingia kusoma, na kureply kidogo.
Upande mwingine kuna watu wana harakati sio za kitoto.
Mpaka wanashikana uongo.
Hatari sana.
Fikiria mtu anaingia anakutana na haya mabalaaNacheka kama mazuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuelewa dada angu,binafsi nishasamehe na kusahau.
It shall never be my portion.....Fikiria mtu anaingia anakutana na haya mabalaa
Si unavunjwa miguu unajiona[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wanachukulia rahisi sana[emoji23]
Mambo ya parapanda yote hawayajui ..
Imagine huna hili wala lile.. kumbe watu wanakuhesabia siku za kuishi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Prov 6:19
Tumesoma leo church..
Shahidi wa uongo anaweza leta balaa kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdudu wa bunju huyu kama sio shoga basi kuna kitu kinampwita kwenye matrakooo. Hawezi kuwa kamili lazima watu watakua wanampumulia kisogoni. Dogo jikaze unye zile ulizomwagiwa kwa ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em kwendraaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ntakubondaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii niumie kwa JF kwelii? Naumia km baba tamuu akininyimaa mkunyengee.Joni mwoga, akishambuliwa anazama pm kunililia...kumbe hajui huwa analipwa alichokisahau.
Wewe na cocastic najua huwa ni ngumu kuumia tena mtu akiku attack mnacheka tu
Mwambie asome asiunge mkono
Duuuhhhhhh!! .Nope inawezekana kabisa mtu akakutungia story na hakufahamu kabisa. Kwani kaka ako ananijua mimi nje ya JF?
At first nilivyosikia hiyo story niliipotezea; as I thought labda tu watu wanaconnect dots based na matani ya jukwaani; although nilikwambia kwamba inawezekana akawa yeye kwa sababu excuse niliyompa ya kutokuonana naye; ndiyo exactly excuse alivyokuwa anaisemea yule informer wa hii story; kwamba informer anasema ameshindwa kuonana na mimi kwa sababu ya excuse "A". Mind you sijawahi kuwasiliana PM na huyo informer; hiyo excuse yeye aliijuaje? Na ukamtetea ndugu yako kwamba hawezi fanya hivyo hadi nika-ignore. Nikasema ila kweli; nisihukumu mtu bila kuwa na ushahidi wa kutosha.
2. Ile time amepost uzi sijui wanawake anaolala nao wanakufa; kama kawaida nikaleletewa pdf zangu kama na mimi ni mmoja wa victims wake; I never confronted mtu yeyote aliyesambaza hilo pdf; wapo na humu kwenye comments wanajijua na miungu yao. Bado na screenshots za wapambe sasa "mama Mchungaji kwisha habari yake; sijui burihani mama Mchungaji". Mtakufa nyinyi na vizazi vyenu kabla yangu IJN.
Hawa wote wasambazaji, hakuna ninayefahamiana naye personal; sasa sijui hizo story na wao waliambiwa au ndiyo kuconnect dots. I ignored it too
3. Siku hiyo tena brother big kapost kapicha ka mdada amevaa skirt ya marinda na skuna sijui akasema ni binti yake anashinda tu kanisani blah blah blah. Eeh kama kawaida shots zikanijia "jamani mnaona baba pasta mahaba yamemshinda kaamua kumpost mama Mchungaji, si alisema hawajuani huyu, si kaolewa huyu, si lelelelelee; mara "huyu ni mama Mchungaji tu hata akikataa". Teh hao wote hakuna anayenifahamu kati yao, hadi wawe na uhakika kwamba yule ni mimi kweli. Afu mbaya zaidi ni wababa na heshima zao; na hata hatufahamiani maskini; na bila zile shots ningekataa katukatu kwamba ni wao wananisambaza; Mungu anawaona. Ndiyo ikanibidi sasa, nikaombe ile picha, alhamdulillah nikaipata full yake sasa; nikaishia tu kusikitika. Baadhi ya wababa wa humu; aaaaaaaaaaaaaaaaah; punguzeni unywanywa jamani; hauwapendezi na heshima zenu jamani; tuachieni wanawake hizo mambo.
Sasa Leo Coca kusema alipata shots za brother big akisema amekutana na mimi na kunikula; ndiyo zikanishtua. kwamba does it mean source ya mambo yote haya ni huyuhuyu mtu ilhali siku zote tunamtafuta mchawi?
cocastic do the needful please.[emoji120][emoji120]
Simba hachezi leo, leo nilikua namuangalia crush wangu Shalulile wa sundowns, afu katupia bao kaliiii.