Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Sasa yeye anatumbuliwajee akati ndo mkuu wa kitengo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yeye anakula mema ya nchi, wadada wa JF ajira zipo kwake, na kila kada ana connections, mshindwe nyie wenyewe tyuuh.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dadeq mmoja alienda akaambiwa mnene ka kipipa cha lami 🀣

Babu km huna mvuto kazi hupewi, kuna mmoja kazungushwa mpk kaamua afungue uzi
 
Akuu alitaka tuonane eti kwa gharama yoyote nikamwambia me ghost sionani na watu
Ungeenda nawe bff πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ungeletwa mzima mzima humu, cousin wako kaambiwa alimuomba amtumie picha za chiu ndo ujue babu umeme mdogo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lamomy ana majina yake hadi kukuambia ni kazi sana[emoji23]

Mr.mitraako nishamjua ni yule jamaa anajiita intelligent business
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Shemeji mbona unaharibu sana LeoπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒASANTE SANA Missy Gf njoo shemeji keshachomoa betri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa ile siku utadhan alitumwa, mambo ya PDF yaan full heka heka.
PDF ya kijinga ile wamemficha extrovet wakaacha chats za pensel peke yake

Penseli alikua anachat na mtu anaitwa extrovet sijui ndio nani, wote walikua wanaponda balaa na kuzusha kila mambo mengi. Lakini chats za extrovet zikazibwa zikaachwa za penseli

Wajinga kabisa
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Shemeji mbona unaharibu sana LeoπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒASANTE SANA Missy Gf njoo shemeji keshachomoa betri
Kwann mitako jamani πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Lamomy Uliionaje hiyo mitako we chakumbibi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa ile siku utadhan alitumwa, mambo ya PDF yaan full heka heka.
Na tulimjaza akajaa afu tukamsuuza hakuamini macho yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Alivyoanza kujipakulia minyama eti nimeambiwa nimemla hadi cute wife mfyuuu!
Nikaona babu miyayusho kaanza kamba 🀣🀣🀣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila babu atakufa yuko 🀣🀣🀣hoii, kwann asumbue mabinti wa watuu, khaaah
🀣🀣🀣🀣Kha kumbe ule Uzi ndio wa babu watoto mna ubuyu nyie na hamsemiii
 
Ungeenda nawe bff [emoji23][emoji23][emoji23]
Ungeletwa mzima mzima humu, cousin wako kaambiwa alimuomba amtumie picha za chiu ndo ujue babu umeme mdogo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, wallah
Nilivokua naringa na kujiona nna bahati, namuambia mate, "mwenzako nikitoka hapa huyoo TCRA"

Sahiv ananiuliza "shost huko TCRA interview hujaitwa bado?" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nachokaa mie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dadeq mmoja alienda akaambiwa mnene ka kipipa cha lami [emoji1787]

Babu km huna mvuto kazi hupewi, kuna mmoja kazungushwa mpk kaamua afungue uzi
Jamaa ana dhambi sana sio powa, yule demu angejua jinsi alivyopondwa vile sidhani kama angekuwa na furaha tena.

Akiwa huku hadharani ni marafiki. Akiwa na wengine pembeni anawaponda, huu unafki wa hali ya juu sana
 
Na tulimjaza akajaa afu tukamsuuza hakuamini macho yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Alivyoanza kujipakulia minyama eti nimeambiwa nimemla hadi cute wife mfyuuu!
Nikaona babu miyayusho kaanza kamba 🀣🀣🀣
Mna vijimambo nyie,,eeh Kwa hiyo mlikuwa mnatuma CV kwenye PDF🀣🀣🀣🀣
 
PDF ya kijinga ile wamemficha extrovet wakaacha chats za pensel peke yake

Penseli alikua anachat na mtu anaitwa extrovet sijui ndio nani, wote walikua wanaponda balaa na kuzusha kila mambo mengi. Lakini chats za extrovet zikazibwa zikaachwa za penseli

Wajinga kabisa
Kheeeh had Extro? Mbna mabwakuuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, wallah
Nilivokua naringa na kujiona nna bahati, namuambia mate, "mwenzako nikitoka hapa huyoo TCRA"

Sahiv ananiuliza "shost huko TCRA interview hujaitwa bado?" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nachokaa mie.
Labda uwe unazima mtambo wake wa pmb na kuuwasha mnara wake usome 5g km za Yanga πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom