Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo Coca uliahidiwa ajira? 😂😂😂😂
Aisee

Humu wa kumuamini labda Mjep tu ndio huwa hana mbambamba..na sijawahi kuona akiahidi watu ajira
Hata akikupa vocha hakusimangi


nilishangaa Boss ledi kusimangwa Kwa sababu ya hela ambayo mtu binafsi aliamua kutoa🤣

Akiyanani
Kuna watu siyo wa kupokea hata mia zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee JF tuiachee hivihivii.
Inaweza fikia hatua, ukaanza kumlaumu Baba wa watu Mello aliwaza nn kui unda JF? Si bora angelima bustani hapo kwake akala mboga.

Kuliko kuleta hii kitu ya kutibua amani ya watu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu,
Naomba nikuulize, usije tu kunirushia mawe[emoji16][emoji16] hizi taarifa personal kabisa huwa unazipataje, yaani unajuaje nani na nani wanaongea nini, samahani nimedandia fuso njiani.
Hili swali ni rahisi sana, mm sio mtumiaji sana wa jf na sijui member wengi

Najuaje? Wanaochat nao huwazunguka na kwenda kwa wadada kupeleka kila kitu kwenye chats zao na wanascreenshot kabisa kama ushahidi.

Sasa jambo likifika kwa cute wife si ndio limefika kwangu??
 
Kwahiyo Coca uliahidiwa ajira? 😂😂😂😂
Aisee

Humu wa kumuamini labda Mjep tu ndio huwa hana mbambamba..na sijawahi kuona akiahidi watu ajira
Hata akikupa vocha hakusimangi


nilishangaa Boss ledi kusimangwa Kwa sababu ya hela ambayo mtu binafsi aliamua kutoa🤣

Akiyanani
Kuna watu siyo wa kupokea hata mia zao
Aliambiwa boss ledi kamuomba babu watumiane pic za chiu ndo ushangae 😂😂😂
 
Babu muongo wewe si uliona zile chats za kipindi kile tulizosambiwa members wote wa selfika na yeye mwenyewe nazo alitunga yeye?
Humu huwezi kutunga chat za pm hata iweje!!
Muda huo naambiwa
Ni muda country anatiririka kwenye uzi, na alishaanza kuachia screenshot 🤣
 
Kwahiyo Coca uliahidiwa ajira? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee

Humu wa kumuamini labda Mjep tu ndio huwa hana mbambamba..na sijawahi kuona akiahidi watu ajira
Hata akikupa vocha hakusimangi


nilishangaa Boss ledi kusimangwa Kwa sababu ya hela ambayo mtu binafsi aliamua kutoa[emoji1787]

Akiyanani
Kuna watu siyo wa kupokea hata mia zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjep alimpa mdada wa watu elf 30, akat alimuahidi 200k.

Akaishia kumzururisha na ndinga yake nyeusi.

Mjep baba tamuuu, nakuombaa mara 1.
 
Hili swali ni rahisi sana, mm sio mtumiaji sana wa jf na sijui member wengi

Najuaje? Wanaochat nao huwazunguka na kwenda kwa wadada kupeleka kila kitu kwenye chats zao na wanascreenshot kabisa kama ushahidi.

Sasa jambo likifika kwa cute wife si ndio limefika kwangu??
Khaaaaaa!! Unayaweza wewe 😂😂😂
 
Mnayaweza na shemejio [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtachambwa had mkimbie
Ngao yetu ni ww, walishajimaliza kila kitu kwako[emoji23][emoji23], na wanaakuogopa maana unajua A to Z

Mimj hapa nimetoa kidogo tu[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjep alimpa mdada wa watu elf 30, akat alimuahidi 200k.

Akaishia kumzururisha na ndinga yake nyeusi.

Mjep baba tamuuu, nakuombaa mara 1.
Mbona sielewi😆
Mjep tena??

Dah
Nilale mie kesho mapema Kanisani😂
 
Hili swali ni rahisi sana, mm sio mtumiaji sana wa jf na sijui member wengi

Najuaje? Wanaochat nao huwazunguka na kwenda kwa wadada kupeleka kila kitu kwenye chats zao na wanascreenshot kabisa kama ushahidi.

Sasa jambo likifika kwa cute wife si ndio limefika kwangu??
Cute wife ndio huyu huyu Lamomy? Aaaah hapo sasa naelewa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjep alimpa mdada wa watu elf 30, akat alimuahidi 200k.

Akaishia kumzururisha na ndinga yake nyeusi.

Mjep baba tamuuu, nakuombaa mara 1.
Wewe!
Mimi nilitoa elf 30 tatu mchumba 🤣🤣🤣
Kama wamesema silitoa sate sauzand siyo mimi🏃🏃🏃🏃🏃
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom