Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
🤣🤣🤣🤣 hatareeeee
Ila babu mineno yako hiyo ndio inafanya watu wahisi unawakula kweli?

Haya udugu Antonnia babu anakuita ukaiamshe 🤣🤣🤣
Nimezoea utani tu.............hata miaka ile tunapigana na Iddi Amin kule Kagera kuna wakati tulikuwa tuna-jokes pia.

Hawa Watu wawe na Imani na Wazee wao jamani 🤗
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom