Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Si uzi wa kutumia akili kubwa ni sehemu ya burudani tu!..
Mtag mtu kisha andika sifa yake moja tu jinsi unavyomfikiria kutokana na vile anavyoitumia I'd yake lkn kwa kufuata sheria za jf isiwe uwanja wa matusi au kurushiana visirani..😅

Mshana Jr
Mganga mashuhuri..!

Kasie a.k.a matata
Bibi mkorofi kitandani..😅

Kiranga
Mtu mbishi tu!

Mzee Mwanakijiji
Hekima..

Chizi Maarifa
Jina linajieleza..😅

Shunie
Mdada mkarimu..

MLEVi Mmoja
Mfano wa waliokuwa wanakula ada shuleni..😂

GuDume
Mtu anaezeeka vibaya..😅

Saint Anne
Kondoo wa bwana..

lliedie
Kabinti kapolee..🤗

Depal
Mwenye misimamo lkn tatanishi..😜

Miss Natafuta
Kamati ya kudang..a😎🙈

Don Nalimison
Mtu mwenye malalamiko😂

Kiduku Lilo
Ile hela tuma kwenye namba hii..😂

katoto kazuri
Anajifunza umbea..😅

Money Penny
Kamati ya michambo na udaku..🏃


List iendelee..
Hii kali....
 
Hahahahaha, ila pia kuna kakikundi kanapenda hizi story
Tatizo kubwa lilianza pale vikundi vilipoanzishwa

Unafiki ukaanza, mtu anaenda PM ya mshikaji au manzi kumbe anaenda kumpeleleza ili apeleke taarifa kwenye kikundi chake

Selfika ilikuwa si salama kumpa mtu taarifa zako au hata namba ya simu.

Tulioufahamu huu mchezo tukabaki neutral kulinda heshima zetu wapelelezi walipokuja PM
 
Acha uogaa weyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF mbna nyepesii sana.

Hahah mimi sina uoga kabisa na jf naimudu vizuri kabisa ndio maana nipo mpaka leo.

Lakini mimi ni mtu ninayependa kuheshimiwa hususani na watu ambao wananijua nje ya hapa. Kwa sababu hiyo ndio hadhi yangu na nina stahili. Hii inanipelekea kujiepusha kukutana na wehu.

Mimi sio mtu ambaye naweza kujitoa ufahamu kiasi kwamba nudes zangu kweli zivuje au mambo yangu ambayo hayakupaswa yawe hadharani yawe hadharani halafu nijidai kama vile sijaumizwa. Labda hayo mambo yawe sio ya kweli ila kama ni ya kweli sio siri nitakuwa nimeumizwa sana maana mimi nina heshima yangu ambayo ikivunjwa ni lazima nione aibu na sio kujitia roho ngumu kukomaa huku moyoni najua yaliyo sambazwa ni kweli na huyo mtu tunajuana in person kweli.

Kati ya somo nililofeli vibaya ni kukumbatia aibu na maumivu na kujidai walaaa sijaumia dear.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom