Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu...usibadili avatar...ndio nishaiweka kwa 🤎...Nimeamini upendo uchanua kama maua...[emoji39][emoji39]
Asante my better half...[emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lala mlango wazi na wewe....Mkuu Ushimen una bahati sana![emoji39]
Naenda kuoga bahari hindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lala mlango wazi na wewe....
Niaje lakini?
Amen.....Karibu...usibadili avatar...ndio nishaiweka kwa 🤎...
Uwe na siku njema....[emoji9][emoji9]
Tulishawezana muda tuuMtawezana na huyo bibi kweli? [emoji849][emoji849][emoji849]
Am watching you!!Naenda kuoga bahari hindi [emoji23]
Ni poa tu, hongereni kwa mapendo. Wengine hata kukonyezwa imekuwa tabu.
pole Sana mkuu 😉Hadi kawivu kananishika [emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji3]Tatizo humu naweza kumpenda mwanangu...
Good night b4thegSina ninae mjua najitakia usiku mwema mwenyewe. Nilale salama
Endelea tu kutuwekea hayo mapengo+ midevu hupati tag hata 1 ya bahati mbaya😀😀Sahani wakuu.....
Naomba msaada wa jinsi ya kubadili avatar, maana this is too much..☹️☹️
Mwali, ebu naomba unielekeze jinsi ya kujiondoa jf, maana kuna ubaguzi sana humu...😔😔Endelea tu kutuwekea hayo mapengo+ midevu hupati tag hata 1 ya bahati mbaya😀😀
Chanjo ya corona imeanza kutolewaUsiku mwema wapendwa wote katika Bwana, pamoja na wewe mleta uzi, nawapenda[emoji7]
Chanjo 😳😳Chanjo ya corona imeanza kutolewa