Karibu...usibadili avatar...ndio nishaiweka kwa ๐ค...Nimeamini upendo uchanua kama maua...[emoji39][emoji39]
Asante my better half...[emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lala mlango wazi na wewe....Mkuu Ushimen una bahati sana![emoji39]
Naenda kuoga bahari hindi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lala mlango wazi na wewe....
Niaje lakini?
Amen.....Karibu...usibadili avatar...ndio nishaiweka kwa ๐ค...
Uwe na siku njema....[emoji9][emoji9]
Tulishawezana muda tuuMtawezana na huyo bibi kweli? [emoji849][emoji849][emoji849]
Am watching you!!Naenda kuoga bahari hindi [emoji23]
Ni poa tu, hongereni kwa mapendo. Wengine hata kukonyezwa imekuwa tabu.
pole Sana mkuu ๐Hadi kawivu kananishika [emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji3]Tatizo humu naweza kumpenda mwanangu...
Good night b4thegSina ninae mjua najitakia usiku mwema mwenyewe. Nilale salama
Endelea tu kutuwekea hayo mapengo+ midevu hupati tag hata 1 ya bahati mbaya๐๐Sahani wakuu.....
Naomba msaada wa jinsi ya kubadili avatar, maana this is too much..โน๏ธโน๏ธ
Mwali, ebu naomba unielekeze jinsi ya kujiondoa jf, maana kuna ubaguzi sana humu...๐๐Endelea tu kutuwekea hayo mapengo+ midevu hupati tag hata 1 ya bahati mbaya๐๐
Chanjo ya corona imeanza kutolewaUsiku mwema wapendwa wote katika Bwana, pamoja na wewe mleta uzi, nawapenda[emoji7]
Chanjo ๐ณ๐ณChanjo ya corona imeanza kutolewa