T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Hakuna kutoka humu, endelea kushuhudia tags zikienda kwa wengine hivo hivo😀 utaelewa tu. Ila Ngoja nikutoe nuksi good night Ushimen mapengo.Mwali, ebu naomba unielekeze jinsi ya kujiondoa jf, maana kuna ubaguzi sana humu...😔😔
Mtaachana tuu🏃♀️Cc linahbaby nakupenda sana my future wife.
Nimekuchagua wewe uwe wangu wa maisha wa kufa na kuzikana.
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Hahahaha.... financial services akiwa anajaribishia maikiMtaachana tuu[emoji2088]
Nipigie sasa uniambie usiku mwema vizuri.
Hujapotea Kunguru kwani ulikua unaenda wapi tukuelekeze?Duuh nimepotea njia
Manzese darajaniHujapotea Kunguru kwani ulikua unaenda wapi tukuelekeze?
Nakupenda pia laazizi!Nipigie sasa uniambie usiku mwema vizuri.
unafanya delivery hapa Mwanza ?😋karibu mama,ukiwa mteja wangu basi unapata special offer ya kukaa moyoni😂