Tag wahenga wenzako

9, 11, 15 na 19 zinadhihirisha Mimi MHENGA

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Na sisi tuliosoma majarida ya SANI,TABASAMU na BONGO ni wahenga wa Kiwango gani

Sent from my HUAWEI SCL-U31 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulishiriki michezo ya halaiki.................................
Kama ulicheza gwaride kwa 'bunduki' ya mbao................
Kama ulihudhuria mikutano iliyoanza kwa salamu ya Kidumu Chama cha .........au Zidumu fikra za m....ti.......................
Kama ulisafiri kwa reli au basi ukitumia warranty ya serikali...
Ilimradi tu uhenga huu una mengi ya kukumbuka.
 
Kama uliwahi kuvaa viatu vya Kawasaki, wewe ni muhenga

Kama umewahi kuvaa mkanda wa crocodile, wewe ni muhenga

Kama umewahi kutumia antena za butterfly, wewe ni muhenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…