Kumetokea Watu wanajifanya wanakopesha simu za Mkopo hapa Facebook na kukutaka uwatumie pesa kidogo ili wakutumie bidhaa yako huko mikoani ndugu yangu utapigwa vibaya. Nasema hivyo kutokana na Mimi yamenikuta nimelizwa elfu View attachment 280451050 alafu ni mdada akijifanya katokea Zanzibar kumbe ni matapeli
Mjini ng'ombe hawaishiHuu sio utapeli mpya sema wewe ni boya mpya.
Fuata muongozo huu mtoa madaHuu sio utapeli mpya sema wewe ni boya mpya.
KIDG KIDGHivi unawezaje kutapeliwa na mtu anaeandika tangazo kama hili, kweli hushtuki kabisa?
View attachment 2804530
Imalisha.....
M.kopo......
Uku ukilipa......
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuna kutapeliwa na kufanywa taira,huku ni kufanywa taira
π π π π πKuna kutapeliwa na kufanywa taira,huku ni kufanywa taira