Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,473
Naomba unielwesha, MO mlikuwa na mchakato naye ambao ulikuwa on going sasa kwa kuingia mkataba na chombo kingine bila kumshirikisha MO ni sasa?Kaka nenda kajifunze sheria ya mkataba ( contact law) simba mpk sasa wameingia mkataba na mdhamini mmoja tu naye ni sport pesa. Mo siyo mdhamini bali alikuwa anaikopesha timu na deni lake mpk sasa ni 1.4 bilion mdhamini hakopeshi sisi wana msimbazi ndo tunajua nyie wapita njia hamjui chochote kuhusu simba