TAHADHARI: Hali si shwari Simba..!

Naomba unielwesha, MO mlikuwa na mchakato naye ambao ulikuwa on going sasa kwa kuingia mkataba na chombo kingine bila kumshirikisha MO ni sasa?
 
Wadau wameamua aise. Jukwaa limejaa usimba na uyanga 😛😛
 
Na Mzee Dalali mlimfanyaje? Au nimesahau, si mlitaka kuchoma nyumba yake Magomeni? Na hiyo ndiyo maana yenu. Mtaishia kunawa tu..
 
Watoto wa mjini walivyomchezea Mo.

Makofia kajifanya hakushirikishwa hivyo akajiuzulu. Eti kesho yake tu kakaa na wenzie akatengua Kujiuzulu kwake. Prof. Lipumba upo?

Muda wote huo Mo alikuwa anaangalia sinema ya wajanja. Ikabidi Makofia ndiyo amwingie Mo, "muhanga" mwenzake wa kutoshirikishwa! Wamekaa na Mo, kaingia mkenge.

Mkataba wa SportPesa uko pale pale. Hela wamepiga na Mo anaendelea kutoa pesa. Watoto wa mjini noma kweli.
 
Tupo pamoja sanaa nidhair atakua kaelewa sas wakurupukaji sanaa
 
Hivi nimecheka kuona timu mbili kongwe - mashabiki wanabishana nani bora ktk ujinga. Viongozi wapande mbili zote wapiga dili na eti washabiki hawalijui hilo?? Yale yale ya nyani haoni ..... anacheka la mwenzake. 🙁🙁🙁
 

Contact law, atleast kuna mwanachama wa simba msomi.
 

Polen mkalipe mkopo wa watu sasa
 
ndala bna mnaingilia yasiowahusu
kwanza wachezaji wenu bado hamjawalipa
 
Eti wasomi !ndiyo wangeingia kichwa kichwa kusainishwa mkataba kwa harufu ya shilingi?msomi mwenyewe Manara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…